'On a Serious Note' Haji Manara asaidiwe upesi 'Kisaikolojia' kwani anaanza 'Kuwehuka' na Kujidhalilisha hadi Kuwadhalilisha Waliomuajiri

'On a Serious Note' Haji Manara asaidiwe upesi 'Kisaikolojia' kwani anaanza 'Kuwehuka' na Kujidhalilisha hadi Kuwadhalilisha Waliomuajiri

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Jana katika tabia yake Ile ile ya Kujipendekeza kwa Serikali ( hasa Watawala ) na kutafuta Huruma ili ifanye Ushawishi na awe Huru kafanya Jambo la Kujichoresha zaidi na linaloonyesha kuwa huenda Majibu ya Mabaya aliyowafanyia Watu sasa Laana zao zinaanza Kumpata.

Ni kwamba Mfungwa na Mdaiwa Haji Manara akidhani kuwa Tanzania nzima Mtu Mjanja na anayejua Mambo ya IT ni Yeye 'aliposti' Picha akiwa kavalia Jezi Mpya, Mbovu na Kituko ya huko Walikomuajiri ambayo huenda kwa matatizo yake ya Akili ( Kuchanganyikiwa ) hakujua kuwa imekosewa 'Kuprintiwa' ambapo badala ya Kuandikwa Sensa ni tarehe 23 / 8 / 2022 aliyoivaa Yeye na Kujimwambafai nayo kwa kuipiga na kuitupia katika Mitandao yake iliandikwa Sensa ni tarehe 23 / 8 / 2023 ambapo baada ya kujua amekosea haraka sana akaiondoa akidhani Watanzania wanaomzidi Akili hawakuikopi au hawana wakati tayari ipo na sasa inasambaa tu Mitandaoni huko.

Mlio karibu nae Haji Manara tafadhali mwambieni atulize Kichwa chake Kwanza, apumzike na asitafute Kiki ( hasa kwa Serikali ) ili labda ishinikize kwa Waliomuhukumu wamfungulie na aendelee na Upuuzi na Uswahili wake.

Muulizeni Yeye Siku zote anajimwambafai kuwa ni Mtu makini na wa uhakika sasa ilikuwaje tena akavaa Jezi Mpya ya alikoajiriwa iliyokosewa Mwaka wa Sensa, akaiweka Mtandaoni na ghafla alipoambiwa imekosewa Mwaka akaitoa na Kuifuta kabisa?

Msaidieni anachanganyikiwa mno tu.
 
Aisee

Hayo ni makosa ya mshapishaji, huenda naye alikuwa na sababu za kukosea.

Why you hate that man such much? au ni ile ya adui (mpinzani) mwombee njaa.
 
Duh!!,Manara amepanic sana sio siri.
Anahitaji msaada mkubwa sana wa Kisaikolojia kuliko hata vile ambavyo tunadhani.

Na nilichokigundua pia ni kwamba kuna Watu ( ambao Yeye anawapenda na Kuwaamini ) ndiyo Wanampigisha hizi Shoti zote kwa Makusudi ili Wamchoreshe na Wamharibie zaidi, ila Yeye hajajua au hata tu Kuwashtukia.
 
Jana katika tabia yake Ile ile ya Kujipendekeza kwa Serikali ( hasa Watawala ) na kutafuta Huruma ili ifanye Ushawishi na awe Huru kafanya Jambo la Kujichoresha zaidi na linaloonyesha kuwa huenda Majibu ya Mabaya aliyowafanyia Watu sasa Laana zao zinaanza Kumpata.

Ni kwamba Mfungwa na Mdaiwa Haji Manara akidhani kuwa Tanzania nzima Mtu Mjanja na anayejua Mambo ya IT ni Yeye 'aliposti' Picha akiwa kavalia Jezi Mpya, Mbovu na Kituko ya huko Walikomuajiri ambayo huenda kwa matatizo yake ya Akili ( Kuchanganyikiwa ) hakujua kuwa imekosewa 'Kuprintiwa' ambapo badala ya Kuandikwa Sensa ni tarehe 23 / 8 / 2022 aliyoivaa Yeye na Kujimwambafai nayo kwa kuipiga na kuitupia katika Mitandao yake iliandikwa Sensa ni tarehe 23 / 8 / 2023 ambapo baada ya kujua amekosea haraka sana akaiondoa akidhani Watanzania wanaomzidi Akili hawakuikopi au hawana wakati tayari ipo na sasa inasambaa tu Mitandaoni huko.

Mlio karibu nae Haji Manara tafadhali mwambieni atulize Kichwa chake Kwanza, apumzike na asitafute Kiki ( hasa kwa Serikali ) ili labda ishinikize kwa Waliomuhukumu wamfungulie na aendelee na Upuuzi na Uswahili wake.

Muulizeni Yeye Siku zote anajimwambafai kuwa ni Mtu makini na wa uhakika sasa ilikuwaje tena akavaa Jezi Mpya ya alikoajiriwa iliyokosewa Mwaka wa Sensa, akaiweka Mtandaoni na ghafla alipoambiwa imekosewa Mwaka akaitoa na Kuifuta kabisa?

Msaidieni anachanganyikiwa mno tu.
Ukileta usela kwenye mambo ya ufundi ipo siku utaumbuka tu... Manara usela unamsumbua

Kwa wale wapenzi wa michezo hasa MPIRA wa miguu, hivi mtu anaweza kuhama tim na kushabikia timu nyingine
 
Aisee

Hayo ni makosa ya mshapishaji, huenda naye alikuwa na sababu za kukosea.

Why you hate that man such much? au ni ile ya adui (mpinzani) mwombee njaa.
Sijaona chuki dhidi ya Manara kwenye post ya GENTAMYCINE
Ameshauri na kutoa tahadhari ambapo inapelekea kumsaidia mtajwa asije akaingia kwenye hatua ya pili ya shida ya akili.

Au utapenda kukutana na Manara akiokota makopo au kutembea bila nguo barabarani?

Tupunguze negativity
 
1659161593047.png
 
Achana na Haji, kichaa yule
Kwa anayofanya sasa ndiyo anazidi tu kuwa Kichaa. Wamuwahi ili wamsaidie kabla haijawa mbaya na hatari zaidi Kwake na huko Walikomuajiri.
 
Sijaona chuki dhidi ya Manara kwenye post ya GENTAMYCINE
Ameshauri na kutoa tahadhari ambapo inapelekea kumsaidia mtajwa asije akaingia kwenye hatua ya pili ya shida ya akili.

Au utapenda kukutana na Manara akiokota makopo au kutembea bila nguo barabarani?

Tupunguze negativity
Thanks for assisting me ( on my behalf ) in educating that damn Moron on board.

Cc: Mamndenyi
 
Pamoja na yoote huwa ni ngumu sana kuficha aidha mapenzi au chuki kwa mtu. Mengine ni makosa tu ya kibinadamu ambayo wala hayahitaji mjadala mreefu.
 
Kwani yule mwehu aliyedai utopolo hataanzia hatua ya awali kabisa (ile inayokulazimisha kuzitoa timu mbili ndio uingie makundi) katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika alikuwa nani viile!? Sio Manara kweli!?
 
Manara amefanya makusudi.Akijua kwamba akivaa tisheti iliyo na ujumbe unaotakiwa hatutapeare attention kuhusu yeye.Kusudi lake halikuwa kutangaza Sensa bali tumuone yeye.Mimi nasema serikali imkamate Haji kwa kupotosha Umma.
 
Back
Top Bottom