'On a Serious Note' Haji Manara asaidiwe upesi 'Kisaikolojia' kwani anaanza 'Kuwehuka' na Kujidhalilisha hadi Kuwadhalilisha Waliomuajiri

'On a Serious Note' Haji Manara asaidiwe upesi 'Kisaikolojia' kwani anaanza 'Kuwehuka' na Kujidhalilisha hadi Kuwadhalilisha Waliomuajiri

Kuhamasisha sensa sioni tatizo mimi huwa sifati mkumbo hata kama ana matatizo yake kwenye hilo swala la Kitaifa kwa Watanzania wacha ahamasishe kitu muhimu..
 
Manara huwa anajua sana kucheza na akili za mbumbumbu, kapost makusudi kuwajaza mbumbumbu, na mbumbumbu wameingia kichwakichwa wamejaa.
 
Manara huwa anajua sana kucheza na akili za mbumbumbu, kapost makusudi kuwajaza mbumbumbu, na mbumbumbu wameingia kichwakichwa wamejaa.
Kwenye hao Mambumbu upo au haupo?
 
Back
Top Bottom