On air show kubwa kuliko na BEIRA BABY BOY IN THE HOUSE NIGGA

wazo zuri ila ongeza ubunifu....maandishi hayavutii ....pia epuka utimu (kuna sehem nmeona mbumbufu fc , mnyama kiba n.k) unapokua reporter try kubalansi story !!

kuna mdau kashauri hapo uweke segments...itavutia zaidi!

vinginevyo tupo pamoja
 
Naona jamiiforum inageuka Instagram
Jukwaa la Jamii Photo unalijua? Kule mwendo wa picha mkuu, kwa hiyo ni Instagram?

Hapa ni mkusanyiko wa matukio ya wiki nzima yakiambatana na vielelezo japo kwa picha
 
wazo zuri ila ongeza ubunifu....maandishi hayavutii ....pia epuka utimu (kuna sehem nmeona mbumbufu fc , mnyama kiba n.k) unapokua reporter try kubalansi story !!

kuna mdau kashauri hapo uweke segments...itavutia zaidi!

vinginevyo tupo pamoja
sawa mkuu lakin mimi sina team maana huwa naona watu wanamuita diomnd ni domo na alikiba ni king kiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…