On Second Thought

habari yake Limbwata la ulimi?.......habari yake inspecteee.....inspector anakusalimu.

ngoja nikapractice skills zangu za limbwata la ulimi.
 
Hahahahah Bi Tausi si umeona walivyoruka??.........Ila naamini wangesikia Linawekwa kupitia T........ wengi wangefanya applications kabisa ah

Sio vzuri mwayego

kwa mtaji huu, wallah mi ningeomba dozi kabisa ya limbwata mnipatie,
4, 4, 2 !!!!asubuhi , mchana na jioni!!!!!!!!
 
Hahahahah Bi Tausi si umeona walivyoruka??.........Ila naamini wangesikia Linawekwa kupitia T........ wengi wangefanya applications kabisa ah

Sio vzuri mwayego

he! MJ1 Wewe?! apo juu umesemaje?
 
kwa mtaji huu, wallah mi ningeomba dozi kabisa ya limbwata mnipatie,
4, 4, 2 !!!!asubuhi , mchana na jioni!!!!!!!!

Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa bacha mi ctaki bana ah... mbavu zangu zinauma. Unataka kuwa overdosed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…