On Second Thought

On Second Thought

kama mlipendana bila limbwata,,,bado upendo unaweza kuwepo bila huo ushirikina.Love should be genuine with no any other artificial addition

limbwata ni kachumbali ya mapenzi mbo huaji kula chips bila sources weweee
 
MJ1 na wadau... yani kila nikisoma hii sredi nazidi kupata second thought... hivi MJ1 ulikua unafikiria nini?? si unajua hua tunatubu hata kwa tunayoyawaza tu??

dah:eyeroll1:
 
hiyo ni mbaya sana MJ1, mtu inatakiwa mpendane toka moyoni sio mambo ya limbwata. Tatizo mkishatuwekea limbwata tunakuwa kama zoba na hapo mnapata uhuru wa kufanya chochote unachotaka hata kama ni ku-cheat mumeo ataona poa tu. Kama unajiamini huna haja ya libwata.
MHHH
MJ1 Hii mada nimeipenda...
wewe JN... Kwani ivo vingine mnavyofanyiwa hadi kupewa T....o HAO wanao wafanyia kwani wanapenda?/ nKubalini kila kitu tu hata libwata mradi mapenzi yakolee!!
 
Kwahiyo hii thought mmekubaliana kuwa Tego ni jibu sahihi la limbwata au limbwata ni nyama ya ulimi?

Swali kwa MJ1:
Inakuwa vipi kwa sisi wenye chama chetu ukajikuta bibi kakuwekea limbwana na infii naye kakuwekea limbwata?

HAhaahah Babu yangu masikini wazeeka vibaya weye............Thought tumeafikiana iwe limbwata ni nyama ya ulimi (Babu The Finest ameahidi kuanzisha thread juu ya hii na kutoa training ya limbwata la nyama ya ulimi)

Sasa hapo itategemea la nani kali loh.............. ama sivyo watakushikia dampo


Swali kwa wajukuu:
Utafanya nini ukigundua mmeo kawekewa limbwata na mpango wake wa nje?
Hapa sasa pagumu......nitamlimbwatua mbona!!
 
MHHH
MJ1 Hii mada nimeipenda...
wewe JN... Kwani ivo vingine mnavyofanyiwa hadi kupewa T....o HAO wanao wafanyia kwani wanapenda?/ nKubalini kila kitu tu hata libwata mradi mapenzi yakolee!!

Hahahahah Bi Tausi si umeona walivyoruka??.........Ila naamini wangesikia Linawekwa kupitia T........ wengi wangefanya applications kabisa ah

Sio vzuri mwayego
 
MJ1 na wadau... yani kila nikisoma hii sredi nazidi kupata second thought... hivi MJ1 ulikua unafikiria nini?? si unajua hua tunatubu hata kwa tunayoyawaza tu??

dah:eyeroll1:

Hahahahahahaaaaaaaaaaa Babu Acid nilikuwa natizama tamthilia ...mke anafukuzwa na mume kwa kuwa mume kagundua kuwa mkewe kamlimbwata...........sasa mdada akawa anasema anafanya vile kwa kuwa anampenda sana mumewe............nahitajika pia kutubu kwa nlichokitizama kwa macho?

Umenichekesha
 
Back
Top Bottom