Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Aliyemwekea babu.....
yaani ntachapa hadi aende akasimulie.....lol
Utamjuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyemwekea babu.....
yaani ntachapa hadi aende akasimulie.....lol
Hahahaha...hapo ndipo ulipokosea. Limbwata halitiwi kwa bia mama. Ndo maana mnatuwekea Limbwata, si tunaongeza infii.
Si unaona ilivyokolea lakini? Mie natangulia Kingstaa
Subiri kwanza huyu msaidizi wako aondoke...mtaniua wajameni.
Infiii umeitaka mwenyewe sasa unakimbia nini mie ndo nishaanza mwendo hivyoooooooo
Limbwata zimenizidia..
Utamjuaje?
Si unaona ilivyokolea lakini? Mie natangulia Kingstaa
yoli yoli humu ndani mmeshalishwa nyama ya maka..o nini
mmeanza kuongea kilimbwata ati
Infiii umeitaka mwenyewe sasa unakimbia nini mie ndo nishaanza mwendo hivyoooooooo
Ha ha ha upo wewe? Heri ya mwaka mpya?? Limbwata limemkolea kila mtu
Kwani zamu yako ya kukaguliwa na babu ndo leo eeeeh?
Nipo rafiki walinificha wenyewe lakini ndio ivo nimeibuka
kama mlipendana bila limbwata,,,bado upendo unaweza kuwepo bila huo ushirikina.Love should be genuine with no any other artificial addition
MHHHhiyo ni mbaya sana MJ1, mtu inatakiwa mpendane toka moyoni sio mambo ya limbwata. Tatizo mkishatuwekea limbwata tunakuwa kama zoba na hapo mnapata uhuru wa kufanya chochote unachotaka hata kama ni ku-cheat mumeo ataona poa tu. Kama unajiamini huna haja ya libwata.
Kwahiyo hii thought mmekubaliana kuwa Tego ni jibu sahihi la limbwata au limbwata ni nyama ya ulimi?
Swali kwa MJ1:
Inakuwa vipi kwa sisi wenye chama chetu ukajikuta bibi kakuwekea limbwana na infii naye kakuwekea limbwata?
Hapa sasa pagumu......nitamlimbwatua mbona!!Swali kwa wajukuu:
Utafanya nini ukigundua mmeo kawekewa limbwata na mpango wake wa nje?
Hebu kajiunge chat room signature hukoo
MHHH
MJ1 Hii mada nimeipenda...
wewe JN... Kwani ivo vingine mnavyofanyiwa hadi kupewa T....o HAO wanao wafanyia kwani wanapenda?/ nKubalini kila kitu tu hata libwata mradi mapenzi yakolee!!
MJ1 na wadau... yani kila nikisoma hii sredi nazidi kupata second thought... hivi MJ1 ulikua unafikiria nini?? si unajua hua tunatubu hata kwa tunayoyawaza tu??
dah:eyeroll1: