Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,380
Wakuu,
Muda si mrefu (saa 3 usiku) kwa mlio nyumbani kutakuwa na Jimbo kwa Jimbo ambapo hii leo mheshimiwa Augustine Lyatonga Mrema wa TLP atakuwa kwenye mdahalo na John Mrema wa CHADEMA.
Tunatarajia mtaangalia na kutufahamisha mdahalo unavyoendelea, kuna mdau ameniahidi kutuma sms ili ni-update hapa.
Muda si mrefu (saa 3 usiku) kwa mlio nyumbani kutakuwa na Jimbo kwa Jimbo ambapo hii leo mheshimiwa Augustine Lyatonga Mrema wa TLP atakuwa kwenye mdahalo na John Mrema wa CHADEMA.
Tunatarajia mtaangalia na kutufahamisha mdahalo unavyoendelea, kuna mdau ameniahidi kutuma sms ili ni-update hapa.