Mkuu Superman ukimaliza nitakuja kuweka comments zangu, japo ningependa sana wananchi wawe wanapewa nafasi ya kuuliza maswali na hasa utekelezaji wa hizo priorities, maana nyingine naona hazitekelezeki, unless jimbo libadilishe mfumo wa ajira, mfano kuongeza walimu wa shule za kata. Walimu wa shule za kata mwajiri ni serikali za mitaa ambayo hai-train na hata yebo yebo wanaopatikana wanasambazwa Tanzania nzima, so bado uhaba wa walimu unabaki pale pale tu.