Conclusion:
Wagombea ni wazuri... wananchi wa Vunjo wamejaliwa kwa hili.
wote ni wazuri lakina mrema wa chadema anajua kujieleza na ana points nzuri.
Hakuna kitu kwa mgombea wa CCM, kelele tu hana kitu kipya sera zao ndiyo hizo hizo kila mwaka utekelezaji sufuri kabisa, MGOMBEA ANAYEFAA VUNJO NI WA CHADEMA.
John Mrema ni member wa JF nadhani akipata muda atatupa kwa undani wake yanayoendelea