Ona baadhi ya mambo yetu tunavyofanya ki vyetu vyetu

Ona baadhi ya mambo yetu tunavyofanya ki vyetu vyetu

NostradamusEstrademe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
3,402
Reaction score
4,532
1.Ukifanya harusi bila kuchangisha mtu kosa rafiki zako watakasirika na wengine hawatakuja hata kama umeamua kugharamia mwenyewe kila kitu.

2.Watu wanachanga harusi budget kubwa inakuwa kwenye pombe kuliko chakula wengine wanasema kama ni chakula atanipikia mke wangu mimi nataka pombe ambapo mke wangu hawezi kutengeneza bia.Halafu mafanikio ya harusi ni kama watu walikunywa sana.

3.Harusi ikiisha baada ya kutumia hela nyingi mamilioni baada ya siku chache kuna kitu wanaita kuvunja kamati au uchakavu.Wanatumia tena nusu ya gharama za harusi iliyopita kwa kunywa na chakula huku bwana na bibi harusi wakwenda kuishi maisha ya ukiwa ambapo hizo gharama za uchakavu ingekuwa ni zawadi za kuwasaidia maharusi kuanza maisha mapya.

4.Unakuta mtu ana eneo kubwa sana anaweza fanyia harusi kwake lakini anakwenda kukodisha ukumbi kwa mamilioni ya wachangiaji

5.Bwana harusi mwenyewe anataka harusi ya kifahari ambapo iko chini ya uwezo wake.Hivyo anakopa mamilioni na hata gari kumkonga bibi harusi.Baada ya harusi anakuwa na madeni ya kutisha matokeo yake maisha yanakuwa magumu mahusiano yake na bi harusi wake yanakuwa mabaya ndoa baada ya miezi mitatu inavunjika.

6.Binti akitaka kuolewa baadhi ya mila wanamgeuza fursa kutajirika wanadai mahari kubwa sana au mifugo na wakati wa kupanga mahari watu wanaweza bishana kuanzia saa mbili asubuhi hadi 12 jioni.Matokeo yake binti aliyeolewa anaishi kwa manyanyaso makubwa mno kwenye ndoa yake maana mume amemlipia gharama kubwa.

7.Kuchangisha harusi.Kwani ni lazima uchangishe? Ukiona huwezi fanya harusi wewe na familia yako basi ujue huna uwezo wa kutunza mke.Harusi ni muhimu kwanini usumbue wengine.Fanya kwa uwezo wako tafuta wageni waalikwa labda ndugu zako wakaribu tu waandalie chakula tafuta sheikh au mchungaji au padre fungisheni ndoa yenu.Kwa maoni yangu ndoa simple huwa zinadumu kuliko ndoa za magharama makubwa.Nimeshawahi shuhudia harusi miaka ya 1990 iligharimu milioni60 ya watoto wa vigogo hadi barabara mbili zilifungwa.Bia zilikuja kwa Meli enzi hizo bia zilikuwa zinaitwa Steller Artois.Ile ndoa ilidumu kwa miezi mitatu ikavunjika.Kigogo huyo wa baba wa bibi Harusi matajiri wenzake na watu wenye cheo kikubwa walimchangia mamilioni.Nchi ya Ghana hakuna kitu kinaitwa kuchangia harusi unawaalika watu kwa uwezo wako ila siku ya harusi wanakuja na zawadi ambapo ni kubwa kuliko kama ungechangiwa watu wakala na kunywa pombe.Nishaona harusi moja Ghana mtu alitoa zawadi ya harusi gari.hata nchi jirani Kenya wametuzidi kwa hili.

8.Vijijini hakuna wapishi au tuite buffe hivyo wanapikia nyumbani.Unakuta umekaa mtu amekujazia sahani nakukuletea kwanini msiache iwe self service unampimia mwenyewe.Hii inapunguza matukio ya watu kuwekeana sumu na madawa ya kulevya.

9.Mtu akikuchangia baadhi sio wote akili yake yote haoni ni ili akusaidie au akupige tough huo mchango anaupigia hesabu atavyo kula na kunywa.Akiona idadi ya chupa hakupata inavyostahili analalamika hakutendewa haki.
Huyo jamaa hapo pichani ni mtu na heshima zake.Kamchangia harusi rafiki yake binti yake anaolewa kwa jinsi hiyo basi.Angetakiwa awe ni moja ya msaada kuhakikisha harusi ya mwenzake inaenda vizuri matokeo yake anakunywa kufidia mchango wake akawa mzigo kwa harusi nzima na mkewe.Wenye harusi wakaingia gharama ingine kumtafutia usafiri

Naomba kutoa hoja najua sitakosa mapovu ila nimetoa yangu ya moyoni
Ila tunahitaji kubadilika kwa kweli.
 

Attachments

  • Drunkard.png
    Drunkard.png
    910.3 KB · Views: 1
1.Ukifanya harusi bila kuchangisha mtu kosa rafiki zako watakasirika na wengine hawatakuja hata kama umeamua kugharamia mwenyewe kila kitu.

2.Watu wanachanga harusi budget kubwa inakuwa kwenye pombe kuliko chakula wengine wanasema kama ni chakula atanipikia mke wangu mimi nataka pombe ambapo mke wangu hawezi kutengeneza bia.Halafu mafanikio ya harusi ni kama watu walikunywa sana.

3.Harusi ikiisha baada ya kutumia hela nyingi mamilioni baada ya siku chache kuna kitu wanaita kuvunja kamati au uchakavu.Wanatumia tena nusu ya gharama za harusi iliyopita kwa kunywa na chakula huku bwana na bibi harusi wakwenda kuishi maisha ya ukiwa ambapo hizo gharama za uchakavu ingekuwa ni zawadi za kuwasaidia maharusi kuanza maisha mapya.

4.Unakuta mtu ana eneo kubwa sana anaweza fanyia harusi kwake lakini anakwenda kukodisha ukumbi kwa mamilioni ya wachangiaji

5.Bwana harusi mwenyewe anataka harusi ya kifahari ambapo iko chini ya uwezo wake.Hivyo anakopa mamilioni na hata gari kumkonga bibi harusi.Baada ya harusi anakuwa na madeni ya kutisha matokeo yake maisha yanakuwa magumu mahusiano yake na bi harusi wake yanakuwa mabaya ndoa baada ya miezi mitatu inavunjika.

6.Binti akitaka kuolewa baadhi ya mila wanamgeuza fursa kutajirika wanadai mahari kubwa sana au mifugo na wakati wa kupanga mahari watu wanaweza bishana kuanzia saa mbili asubuhi hadi 12 jioni.Matokeo yake binti aliyeolewa anaishi kwa manyanyaso makubwa mno kwenye ndoa yake maana mume amemlipia gharama kubwa.

7.Kuchangisha harusi.Kwani ni lazima uchangishe? Ukiona huwezi fanya harusi wewe na familia yako basi ujue huna uwezo wa kutunza mke.Harusi ni muhimu kwanini usumbue wengine.Fanya kwa uwezo wako tafuta wageni waalikwa labda ndugu zako wakaribu tu waandalie chakula tafuta sheikh au mchungaji au padre fungisheni ndoa yenu.Kwa maoni yangu ndoa simple huwa zinadumu kuliko ndoa za magharama makubwa.Nimeshawahi shuhudia harusi miaka ya 1990 iligharimu milioni60 ya watoto wa vigogo hadi barabara mbili zilifungwa.Bia zilikuja kwa Meli enzi hizo bia zilikuwa zinaitwa Steller Artois.Ile ndoa ilidumu kwa miezi mitatu ikavunjika.Kigogo huyo wa baba wa bibi Harusi matajiri wenzake na watu wenye cheo kikubwa walimchangia mamilioni.Nchi ya Ghana hakuna kitu kinaitwa kuchangia harusi unawaalika watu kwa uwezo wako ila siku ya harusi wanakuja na zawadi ambapo ni kubwa kuliko kama ungechangiwa watu wakala na kunywa pombe.Nishaona harusi moja Ghana mtu alitoa zawadi ya harusi gari.hata nchi jirani Kenya wametuzidi kwa hili.

8.Vijijini hakuna wapishi au tuite buffe hivyo wanapikia nyumbani.Unakuta umekaa mtu amekujazia sahani nakukuletea kwanini msiache iwe self service unampimia mwenyewe.Hii inapunguza matukio ya watu kuwekeana sumu na madawa ya kulevya

Naomba kutoa hoja najua sitakosa mapovu ila nimetoa yangu ya moyoni
Ila tunahitaji kubadilika kwa kweli.
sijasoma yote, una point hapa na pale...hapa na pale.
ILA PRACTICALITY YA MAMBO MENGINE HAYAWEEKANI. ......Ukiweka harusi sehemu ya wazi kwa vile una eneo kubwa mtaa mzima utajaa kwako etc etc.........

Uhalisia wa maisha hauko kama unavyotmani uwe.

Mengine ni uongo...kama kuwekeana sumu...wapi ilitokea?

Mengi yako ni utopia
 
Upo sahihi mkuu.. Jamii inahtaji mabadiliko sana.

Na mabadiliko yanakuja pale juhudi na mikakat yakukusanya/kutafuta pesa, Kuondoa malalamiko.
 
sijasoma yote, una point hapa na pale...hapa na pale.
ILA PRACTICALITY YA MAMBO MENGINE HAYAWEEKANI. ......Ukiweka harusi sehemu ya wazi kwa vile una eneo kubwa mtaa mzima utajaa kwako etc etc.........

Uhalisia wa maisha hauko kama unavyotmani uwe.

Mengine ni uongo...kama kuwekeana sumu...wapi ilitokea?

Mengi yako ni utopia
Kuna mwalimu shule x, aliuliwa hivhivi..

~ Chakula kilitegwa sumu kwa ajiri ya mtu mwingne kabxa.
~ Mpishi akaktuma chakula kwa jamaa, mtumwaji hakuelewa kinacho endelea.
Chakula kimefka pale mlengwa akaomba chakula apewe kwanza yule teacher kama heshima tu alifanya. Teacher akapiga msosi wa sumu.
~ yule mpishi aliduwaa baada ya kuona chakula cha sumu kala mwingne ndo kilichomfanya agundulike. Ticha hakuchukua mda make wanadai sumu ile ilikua nyongo ya mamba. Na mpishi mpaka leo anakula maharage mabovu
 
Kuna mwalimu shule x, aliuliwa hivhivi..

~ Chakula kilitegwa sumu kwa ajiri ya mtu mwingne kabxa.
~ Mpishi akaktuma chakula kwa jamaa, mtumwaji hakuelewa kinacho endelea.
Chakula kimefka pale mlengwa akaomba chakula apewe kwanza yule teacher kama heshima tu alifanya. Teacher akapiga msosi wa sumu.
~ yule mpishi aliduwaa baada ya kuona chakula cha sumu kala mwingne ndo kilichomfanya agundulike. Ticha hakuchukua mda make wanadai sumu ile ilikua nyongo ya mamba. Na mpishi mpaka leo anakula maharage mabovu
Nashukuru kwa kunisaidia kumjibu huyu jamaa
Mimi rafiki yangu live kabisa ilikuwa harusi yeye sio chakula kwenye pombe harusini kaletewa bia imefunguliwa kabisa kanywa haikuwa sumu ya kumuua ila ni some kind ya dawa za kulevya ili wamuibie jamaa alipelekwa nyumbani akiwa amebebwa utalewaje hivyo bia moja tu wakati anaweza kunywa hata crate?
 
sijasoma yote, una point hapa na pale...hapa na pale.
ILA PRACTICALITY YA MAMBO MENGINE HAYAWEEKANI. ......Ukiweka harusi sehemu ya wazi kwa vile una eneo kubwa mtaa mzima utajaa kwako etc etc.........

Uhalisia wa maisha hauko kama unavyotmani uwe.

Mengine ni uongo...kama kuwekeana sumu...wapi ilitokea?

Mengi yako ni utopia
Kwani ni lazima ufanye nje bro fanyia ndani ya nyumba yako na ndugu zako naona bado una element za uswahili
Harusi ya Kambona London Wingereza mwaka 1960Nyerere alikuwa best man unajua walihudhuria watu wangapi? Walihudhuria watu 11.Angalia picha hapo
 

Attachments

  • kambona.png
    kambona.png
    329.7 KB · Views: 1
Nashukuru kwa kunisaidia kumjibu huyu jamaa
Mimi rafiki yangu live kabisa ilikuwa harusi yeye sio chakua kwenye pombe harusini kaletewa bia imefunguliwa kabisa kanywa haikuwa sumu ya kumuua ila ni some kind ya dawa za kulevya wamuibia jamaa alipelikwa nyumbani akiwa amebebwa utalewaje hivyo bia moja tu wakati anaweza kunywa hata crate?
Haya mambo yapo sana tena vikao vya ukoo ogopa sana kula ovyo
 
Kwani ni lazima ufanye nje bro fanyia ndani ya nyumba yako na ndugu zako naona bado una element za uswahili.
Harusi ya Kambona na Wingereza Nyerere alikuwa best man unajua walihudhuria watu wangapi?
Umeoa wewe? Enhe yako ilikuaje na bajeti utupe hapa tukuige, achana na nyerere,, tupe yako
 
Kwani ni lazima ufanye nje bro fanyia ndani ya nyumba yako na ndugu zako naona bado una element za uswahili.
Harusi ya Kambona na Wingereza Nyerere alikuwa best man unajua walihudhuria watu wangapi?
ya Kambona na Nyerere some 100 yrs back unayaleta leo kweli? siyo utamaduni wetu....... uswahili ndio utamaduni wetu 😀 😀 😀 😀 😀


The bottom line is, as long as mtu halashimishwi, everything is fine!
 
ya Kambona na Nyerere some 100 yrs back unayaleta leo kweli? siyo utamaduni wetu....... uswahili ndio utamaduni wetu 😀 😀 😀 😀 😀


The bottom line is, as long as mtu halashimishwi, everything is fine!
Sawa ni miaka 65 iliyopita lakini hadi leo ulaya ndivyo ilivyo na wewe unasema utamaduni wetu Tanzania hii hii kuna watu wanafanya hivyo na wana ukwasi wa kutosha.
 
Umeoa wewe? Enhe yako ilikuaje na bajeti utupe hapa tukuige, achana na nyerere,, tupe yako
Yangu iligharimu shillingi laki saba miaka 30 iliyopita.Sijaalika mtu ila ndugu zangu wa karibu sana wazazi pande zote walikuwepo na rafiki wa karibu sana,dada zangu,dada wa mke wangu,babu yangu bibi yangu.
Sina uhakika wewe ulikuwa na miaka mingapi.
We weka vipingamizi ila nikuambie ukweli waafrika tunarudishwa nyuma na mambo ya kijinga mno.
 
Yangu iligharimu shillingi laki saba miaka 30 iliyopita.Sijaalika mtu ila ndugu zangu wa karibu sana wazazi pande zote walikuwepo na rafiki wa karibu sana,dada zangu,dada wa mke wangu,babu yangu bibi yangu.
Sina uhakika wewe ulikuwa na miaka mingapi.
We weka vipingamizi ila nikuambie ukweli waafrika tunarudishwa nyuma na mambo ya kijinga mno.
Miaka 30 iliyopita 700,000 na ulikua na hao tu, wamekuchapa.
 
Kila mtu aishi anavyotaka. Ila ni muhimu kuuenzi utamaduni wetu.
 
Miaka 30 iliyopita 700,000 na ulikua na hao tu, wamekuchapa.
Hahahah mkuu umefanya nicheke sana kwa kweli unajua ku reason.Ilikuwa mwaka 1994 sijui wewe ulikuwa wapi wakati huo ila uko vizuri kwa ku reason.

Nilifanyia kijijini kwetu hakuna cha ukumbi.Wala honey moon honey moon ilikuwa nyumbani,MC alikuwepo wa bure ndugu yangu.

Ila sasa ndugu wote walikuwepo na ukoo wote na kijiji chote hapo umeonaje bro.Watu walikula na kusaza na pombe zilikuwepo za kienyeji bia kificho ni only VIP

Ila ndoa nilifungia mjini wakati wa kufunga ndoa tulikwenda na mashela kabisa na suti mpiga picha tulimuokota barabarani tulikuwa watu saba tu.
Harusi ndio nikapeleka kijijini unaona bro nashauri watu kitu nilichofanya mimi
Na ndoa iko hadi leo na wajukuu.
 
ya Kambona na Nyerere some 100 yrs back unayaleta leo kweli? siyo utamaduni wetu....... uswahili ndio utamaduni wetu 😀 😀 😀 😀 😀


The bottom line is, as long as mtu halashimishwi, everything is fine!
Halashimishwi ndio nini ndugu mwana jf?
 
Back
Top Bottom