howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 242
- 392
Kwenye mada,
Kuna wakati unawaza kuhusu kwanini Afrika?Unaelewa ni agenda ya mezani ya kila siku ya nchi zilizoendelea.
Kama tunavyofikiri namna ya kuendesha familia zetu vizuri kwa ustawi ndivyo mataifa ya magharibi yanavyofikiri ni nini cha kuchukua Afrika kwa kodi zao za meza.
Kuna wakati njia zinazotumika unajiuliza nani yuko tayari kufa kwa haraka kwaajili ya taifa lake la Afrika.
Kuna wakati tunabaki tunalaumu sana viongozi wetu kuhusu ufisadi,rushwa kuweka rehani rasilimali za mataifa yao kwa namna kama hii wangapi wako tayari kuinua kidole juu kuwapinga hawa mafisadi wa bara la Afrika kwa mbinu wanazozitumia ukizingatia wako mbele kiuchumi,kiteknolojia na kihuni tutasalimika?
Tujiulize kuwa wakala wao(puppet) kunaepukika?Wangapi wamekufa kwa vifo ambavyo ni matokeo ya kwenda kinyume na sera na falsafa zao?
Tufanye nini kwa mazingira ya aina hii kwa yanayoingizwa polepole Africka,mahususi nchi yetu?
Kuna dhamira yoyote ya nchi zetu kusini mwa jangwa la Sahara na Afrika kujilinda na uharibifu huu kama wakina Mzee Nyerere,Nkruma na wengine walipata upinzani mkubwa kutoka kwa ndugu zao wa Afrika?
Kuna wakati unawaza kuhusu kwanini Afrika?Unaelewa ni agenda ya mezani ya kila siku ya nchi zilizoendelea.
Kama tunavyofikiri namna ya kuendesha familia zetu vizuri kwa ustawi ndivyo mataifa ya magharibi yanavyofikiri ni nini cha kuchukua Afrika kwa kodi zao za meza.
Kuna wakati njia zinazotumika unajiuliza nani yuko tayari kufa kwa haraka kwaajili ya taifa lake la Afrika.
Kuna wakati tunabaki tunalaumu sana viongozi wetu kuhusu ufisadi,rushwa kuweka rehani rasilimali za mataifa yao kwa namna kama hii wangapi wako tayari kuinua kidole juu kuwapinga hawa mafisadi wa bara la Afrika kwa mbinu wanazozitumia ukizingatia wako mbele kiuchumi,kiteknolojia na kihuni tutasalimika?
Tujiulize kuwa wakala wao(puppet) kunaepukika?Wangapi wamekufa kwa vifo ambavyo ni matokeo ya kwenda kinyume na sera na falsafa zao?
Tufanye nini kwa mazingira ya aina hii kwa yanayoingizwa polepole Africka,mahususi nchi yetu?
Kuna dhamira yoyote ya nchi zetu kusini mwa jangwa la Sahara na Afrika kujilinda na uharibifu huu kama wakina Mzee Nyerere,Nkruma na wengine walipata upinzani mkubwa kutoka kwa ndugu zao wa Afrika?