Ona maajabu ya Mungu ktk uumbaji na fursa za utafutaji riziki.

ujinga ni kwamba mwisho ya yoooote ni kifo je ushajiwekea maisha ya baada ya kufa
 
Duniani kuna kila aina ya watu, na wote hutegemeana.... Skilled and unskilled
 
Umeanza vzr, ukamalizia vibaya. Mungu hajampa mtu umbo zuri ili alitumie kujiingizia pesa.
 
MUNGU MKUU
Katika malisho ya majani mabichi hunilisha na kuniongoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…