Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Watu wameendelea kuwa na nguvu zao hata wanapokufa.
Kaburi la Morris Kiyeyeu liligoma kuvunjwa kwa zaidi ya miaka arobaini ili kufisha miradi ya umeme na barabara ya Tanzam.
Mifano iko mingi Sana, ila hapa Kuna video inayoonyesha nduguye MK254 akigoma kupelekwa kupumzishwa kwenye nyumba yake ya milele.
Kaburi la Morris Kiyeyeu liligoma kuvunjwa kwa zaidi ya miaka arobaini ili kufisha miradi ya umeme na barabara ya Tanzam.
Mifano iko mingi Sana, ila hapa Kuna video inayoonyesha nduguye MK254 akigoma kupelekwa kupumzishwa kwenye nyumba yake ya milele.