Ona Majibu ya fumbo la "Ufanye nini upo mtini kuna nyoka, majini kuna mamba na nchi kavu kuna simba"

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mwamba amejitahidi kufikiria.

Nilicho muelewa huyu mwamba ni kwamba " Always use ur problem as a solution to ur problem".

Ukipatwa na tatizo zaidi ya moja kwa wakati mmoja chagua tatizo moja Kati yao na ulitumie ku solve matatizo mengine.

Uzi umekamilika now unaweza toa maoni yako

1. Namba moja( hapo ndo upo kwenye tatizo )


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…