hahahahaha,nimekubaliMwamba amejitahidi kufikiria.
...
Nguo kwaajili ya kuwakeep busy mamba kwa kugombaonia nguo ili aweze kuswing wasije wakamdaka. Ishu ni hapo kamkamataje huyo nyoka with one hand majestically?Sawa lakini sijaona umuhimu wa kuvua nguo hapo
Muhanga alikuwa anaukata na hiyo ndiyo adhabu ya kuukatili mtiHuo mti hapo chini ina maana Simba ndio kaufanya hivyo kwa meno yake?