Ona Majibu ya fumbo la "Ufanye nini upo mtini kuna nyoka, majini kuna mamba na nchi kavu kuna simba"

Ona Majibu ya fumbo la "Ufanye nini upo mtini kuna nyoka, majini kuna mamba na nchi kavu kuna simba"

Mwamba amejitahidi kufikiria.

Nilicho muelewa huyu mwamba ni kwamba " Always use ur problem as a solution to ur problem".

Ukipatwa na tatizo zaidi ya moja kwa wakati mmoja chagua tatizo moja Kati yao na ulitumie ku solve matatizo mengine.

Uzi umekamilika now unaweza toa maoni yako
.

1. Namba moja( hapo ndo upo kwenye tatizo )


View attachment 2303129View attachment 2303132View attachment 2303138View attachment 2303140View attachment 2303142View attachment 2303143View attachment 2303144View attachment 2303145
Mmmh hapa tumepigwa na kitu kizito
 
Nasubiria comments kwa ufafanuzi zaidi aliwezaje kumdaka nyoka na kumfunga hapo mtini
Na nyoka kageuka kuwa kamba ya bembea!? mbaya zaidi nyoka hakukatika kutokana na uzito wa jamaa!

Hapa huyo problem solver katuda ganya!
 
Mwamba amejitahidi kufikiria.

Nilicho muelewa huyu mwamba ni kwamba " Always use ur problem as a solution to ur problem".

Ukipatwa na tatizo zaidi ya moja kwa wakati mmoja chagua tatizo moja Kati yao na ulitumie ku solve matatizo mengine.

Uzi umekamilika now unaweza toa maoni yako

1. Namba moja( hapo ndo upo kwenye tatizo )


View attachment 2303129View attachment 2303132View attachment 2303138View attachment 2303140View attachment 2303142View attachment 2303143View attachment 2303144View attachment 2303145

Acheni hizo danganya toto!!hapo juu ya mti mpaka anafikia kwenye tawi wakati mti unaonekana umekatwa nusu kwa uzito wa jamaa hadi kufikia alipo huo mti ungesha vunjika.
Yaani kwa kifupi huyo jamaa hana chake hapo amsalie tuu mtume!!
 
Back
Top Bottom