Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiasi cha yeye kuning'inia hvyoNasubiria comments kwa ufafanuzi zaidi aliwezaje kumdaka nyoka na kumfunga hapo mtini
anadai nguo imewatoa mamba kwenye reliSawa lakini sijaona umuhimu wa kuvua nguo hapo
Sawa lakini sijaona umuhimu wa kuvua nguo hapo
Mmmh hapa tumepigwa na kitu kizitoMwamba amejitahidi kufikiria.
Nilicho muelewa huyu mwamba ni kwamba " Always use ur problem as a solution to ur problem".
Ukipatwa na tatizo zaidi ya moja kwa wakati mmoja chagua tatizo moja Kati yao na ulitumie ku solve matatizo mengine.
Uzi umekamilika now unaweza toa maoni yako
.
1. Namba moja( hapo ndo upo kwenye tatizo )
View attachment 2303129View attachment 2303132View attachment 2303138View attachment 2303140View attachment 2303142View attachment 2303143View attachment 2303144View attachment 2303145
Imesaidia kuwaingiza maboya Mamba.Sawa lakini sijaona umuhimu wa kuvua nguo hapo
Hiyo nguo alivuaje pia?na sababu ilikuwa ni nini?Sawa lakini sijaona umuhimu wa kuvua nguo hapo
Na nyoka kageuka kuwa kamba ya bembea!? mbaya zaidi nyoka hakukatika kutokana na uzito wa jamaa!Nasubiria comments kwa ufafanuzi zaidi aliwezaje kumdaka nyoka na kumfunga hapo mtini
Mwamba amejitahidi kufikiria.
Nilicho muelewa huyu mwamba ni kwamba " Always use ur problem as a solution to ur problem".
Ukipatwa na tatizo zaidi ya moja kwa wakati mmoja chagua tatizo moja Kati yao na ulitumie ku solve matatizo mengine.
Uzi umekamilika now unaweza toa maoni yako
1. Namba moja( hapo ndo upo kwenye tatizo )
View attachment 2303129View attachment 2303132View attachment 2303138View attachment 2303140View attachment 2303142View attachment 2303143View attachment 2303144View attachment 2303145