Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Hapa akina mama na watoto(wanafunzi) ndio wamesheheniHata mikutano ya Magufuli ni vivyo hivyo. Magu anaokolewa na wanafunzi tu pamoja na wasanii.
Nahisi na yeye wakati muafaka Wa yeye kwenda kujiajiri, maana hawa wamezoea kutuambia vijana mjiajiri , ngoja na yy aingie kitaa kidogo
Jiwe hana jipya kaka anaendeleza aliyoyaanza huku wananchi wake wakiendelea kutaabikaUmeongea pointi sana .
Chadema wamekosea sana ,miezi miwili bila kutangaza mipango yao ya maendeleo.
Kuna mambo hutakiwi ukapanda kwenye jukwaa halafu ukaacha kuyazungumzia.
Mfano : Ajira, miundo mbinu, Elimu , Kilimo cha kisasa, Uchumi, utalii nk.
Muda mwingi wameonekana wanalalamika.
Kampeni zimeisha, Magufuli ameonyesha wazi kuwa ataendelea na kazi ya ujenzi wa miundo Mbinu.
Mkutano wa hadhi ya Diwani kijijini sawa na Ushindi Ni Lazima MTAKE MSITAKE INYESHE LIWAKE JPM NI RAIS JPM5TENA.Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa ccm kwa nafasi ya ubunge mbeya vijijini ndugu oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale.Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake.Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi
View attachment 1606804
Vipi unaimba au?La! La! La! La!
Aisee,akimjambia itakuweje
Hongera kwa kuweka picha,japo hakubadilishi matokeo ya jiwe kushindwaMkutano wa hadhi ya Diwani kijijini sawa na Ushindi Ni Lazima MTAKE MSITAKE INYESHE LIWAKE JPM NI RAIS JPM5TENA.View attachment 1606834View attachment 1606836View attachment 1606837
Dikteta mwenzie Alfa Konde kaliwa kichwa huko GuineaHongera kwa kuweka picha,japo hakubadilishi matokeo ya jiwe kushindwa
VP kiduku nae kashatolewa? VP kuhusu China na Russia piaDikteta mwenzie Alfa Konde kaliwa kichwa huko Guinea
Weka na kampeni za wagombea wa vyama vya Upinzani, usimulike ya ccm tuHuu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
View attachment 1606804
Nani kakudanganya China na Russia kuna udikteta?VP kiduku nae kashatolewa? VP kuhusu China na Russia pia
Yeye kaona hiyo nawewe lete ya upinzaniWeka na kampeni za wagombea wa vyama vya Upinzani, usimulike ya ccm tu
Sioni mpinzani mkuuYeye kaona hiyo nawewe lete ya upinzani