sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwan si tulishawaambia tunamwongezea mda atake asitake, ama ushasahauMbona unaongelea nchi zenye kurithisha utawala.. au ccm nao washakuwa ufalme?!
Kwahio magu ndo udikteta, kaa utulie tunamwongezea mda atake asitakeNani kakudanganya China na Russia kuna udikteta?
Dikteta uchwara tunampiga spana 28.10 tambua hilo
Kumbe unajuaKwahio magu ndo udikteta,
Vipi umekosa kzi sehem ingine baada ya kukutwa na cheti chako fekiKumbe unajua
TutaonaMkutano wa hadhi ya Diwani kijijini sawa na Ushindi Ni Lazima MTAKE MSITAKE INYESHE LIWAKE JPM NI RAIS JPM5TENA.View attachment 1606834View attachment 1606836View attachment 1606837
Mie siyo wa viwango hivyo vya feki. Labda wwVipi umekosa kzi sehem ingine baada ya kukutwa na cheti chako feki
Ndio maana Mwigulu yeye kaamua kucha kabisa kampeni. Ameshajiandaa kwa lolote.Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
View attachment 1606804
Maaana mnalia lia sana,Mie siyo wa viwango hivyo vya feki. Labda ww
Hehehee wamefurika watoto wa school. Hivi nyi nyi magufuli mnamwonaje yaani.Mkutano wa hadhi ya Diwani kijijini sawa na Ushindi Ni Lazima MTAKE MSITAKE INYESHE LIWAKE JPM NI RAIS JPM5TENA.View attachment 1606834View attachment 1606836View attachment 1606837
Tunapambania UHURU wa kweli, siyo huu bandia. Tulia dawa ya rais Lissu iingieMaaana mnalia lia sana,
Tunapambania UHURU wa kweli, siyo huu bandia. Tulia dawa ya rais Lissu iingie
Hata wakizabwa na Makofi sintoshangaa kwani Wananchi wana hasirakuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale.
Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
View attachment 1606804
Laana hiyoHuu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza.
Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale. Nimesikia baadhi ya sehemu wakisema mitano yake inamtosha hawamtaki tena hajawafanyia lolote wananchi wake. Kwenye mkutano huu naona tu watoto wa shule ndio wapo kwa wingi.
View attachment 1606804
Hawa ni wakuwafukuza na mijeledi.Hata wakizabwa na Makofi sintoshangaa kwani Wananchi wana hasira
Watu wamefilisiwa na TRA Wamachinga wamezulumiwa Elfu ishirini zao