Uchaguzi 2020 Ona mikutano ya CCM inavyotia huruma

Ndio maana Mwigulu yeye kaamua kucha kabisa kampeni. Ameshajiandaa kwa lolote.
 
kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea za hapa na pale.
Hata wakizabwa na Makofi sintoshangaa kwani Wananchi wana hasira
Watu wamefilisiwa na TRA Wamachinga wamezulumiwa Elfu ishirini zao
 
 
Laana hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…