Anakimbizwa na mwenye gesti hajalipia chumbaUmeandika kama unakimbizwa
😂😂😂 itakuwa kweli mkuuAnakimbizwa na mwenye gesti hajalipia chumba
Hips kabsaManina
Baada ya kuckia cha cku zote,
nmeandka kwa huzuni saaana,Umeandika kama unakimbizwa
Nmelipia bt cja visit koAnakimbizwa na mwenye gesti hajalipia chumba
Mi nafata principle zangu,co serikali iruhusu,shauri yako suburi wakusokotee wakupe alaf wakuruhusu,Imagine hapa ndio bangi bado haijarusiwa na serikali " lakini baadhi ya vijana wengi tayari wanastahiki kuwa milembe
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sn mkuunmeandka kwa huzuni saaana,
Ahsante mkuupole sn mkuu
Nouma mkuuHips kabsa
Chukua cha siku zote ndio imekunyima K iyoNiliamua kuacha uhuni nikatulia sasa nikapata ka dem ka staarabu kazuri ,kanajielewa kununa hana iyo system ,nikafurah nikajisemea rohoni hatimaye nmefka ,nimfanye mchumba then wife to be ,kama ujuavyo wakat uliopita unaweza kudhuru wakati uliopo kiasi kikubwa ,nikaenda nako gesti nachukua chumba mhudumu wa guest ananiambia chukua cha cku zote ,nmeenda naye ndani lkn nmenyimwa kiwanda (K),yaan alaf nikatoka nilikaniomba hela pumbavu yaan limeniuz ,ww ni maneno gani yalishakusabbsha ukose kiwanda yaani K ,ukiwa gesti ?
Mahondaw bhana!!kila uzi et hauelewi,,heheheNini hiki??? Aliyeelewa msaada puliiiiiiiiiiiiiizzzzzzzz
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app