Ona vipi ardh/mlima unavyou poromoka.

Ona vipi ardh/mlima unavyou poromoka.

heee iliobaki wallah ni kupasuka kwa bahar tuu...
maana dunia ishakwisha dalili zote zishajitokeza...
subhanallah... allah isalimki ya rabb...

Nilham sie tumshukuru Mungu, uko wapi nikuone, hiyo avtar yako mhhhh!
 
continuation ya sign za mwisho wa ulimwengu
 
Is it real?...Kama ndivyo basi Mungu ni wa ajabu sana..maana inatokea kisehemu cha msitu, kwenye nyumba za watu haijagusa!
 
Back
Top Bottom