Mike A Mugilanetza
Member
- Jul 24, 2023
- 62
- 162
Kuna majitu yanavamiaga vitu hayaelewi watu wanabishana kipi yenyewe yanavamiaga tu na kuleta hisia zao za Kishamba.Wewe upijibu hoja ipi na Nani Alikuruhusu kuanza kunitukana ?
Hujanotisi kwamba alianza Yeye na wewe kusapoti kitu kile kile.
Ulielewa Sisi tulikuwa tunabishania kipi hasa Kati ya Sub na kumpa mchezaji umuhimu uliopitiliza .
Punguza Shobo.
Safi Sana poti.