Onana vs Skudu, ni mchezaji gani atakuwa wa kwanza kupewa mkono wa kwaheri katika timu yake?

Onana vs Skudu, ni mchezaji gani atakuwa wa kwanza kupewa mkono wa kwaheri katika timu yake?

Mmanu

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2015
Posts
1,775
Reaction score
1,011
Habari wanaJf

Katika kufuatilia aina ya uchezaji wa hawa wachezaji wawili Onana wa Simba na Skudu wa Yanga kwa mechi mbili walizocheza kwa maana zile za utambulisho wa wachezaji na ngao ya jamii kule Tanga kuna vitu nimeviona vya utofauti kutoka kwa wachezaji hawa.

Mahalatse Makudubela "Skudu" amekuwa ni mchezaji ambaye amekuwa akifanya mambo mengi uwanjani yasiyo na tija kwa timu yake ikiwa pamoja na kupenda kukaa sana na mpira lakini mwishowe kupoteza lengo la huo mpira kwa kutozalisha faida yeyote. Amekuwa ni mchezaji wa kutaka sana kushangiliwa kwa kufanya vitu ambavyo mpira wa kisasa unavikataa 'ball dancer' japo amekuwa akiimbwa sana na mashabiki wa Yanga ila kwa mechi hizo mbili ikiwa hajafanya kitu chochote kilicholipa jitihada za mashabiki kumshangilia.

Willy Essomba Onana nae ameimbwa na mashabiki wake lakini amevimba kichwa kwa kutaka kuivaa Simba kuliko kutoa alichonacho jambo ambalo hupelekea kucheza kistaa na kupelekea kupoteza mpira kirahisi mno. Lakini faida ya huyu jamaa ni aina ya mpira wake ambao ni direct and objective footbal[emoji460] ambao ni aina ya soka la kisasa linalopendwa na makocha wengi wa kisasa duniani japo kuna wakati amekuwa akifanya mambo yanayoigharimu timu. Ameipa Simba mwanga na faida ya kile alichonacho.

Kwa soka la bongo ambalo leo shujaa kesho hufai kwa aina ya uchezaji wao na matumaini makubwa waliyonayo mashabiki wao wanayotegemea kutoka kwao je ni kweli wataendelea kupewa imani hiyo au watasalitiwa mapema tu?

Kwa wataalam wa masuala ya soka na wenye jicho la uchambuzi ni mchezaji yupi atakuwa wa kwanza kupewa "Thank you" na timu yake kwa hawa wachezaji wawili?
 
SKUDU yupo sana,

Kitakachombeba ni Ukubwa na Uimara wa timu ya YANGA

Hata akikaa juu ya mpira still kuna wachezaji wengi uwanjani watakaoleta ushindi wa Yanga, yule amewkwa pale ili kuburudisha na kupose na mpira muda uende

Ulishamsikia mchezaji anaitwa Romario De Souza Fària (Romario) zamani?
 
SKUDU yupo sana,

Kitakachombeba ni Ukubwa na Uimara wa timu ya YANGA

Hata akikaa juu ya mpira still kuna wachezaji wengi uwanjani watakaoleta ushindi wa Yanga, yule amewkwa pale ili kuburudisha na kupose na mpira muda uende

Ulishamsikia mchezaji anaitwa Romario zamani?
Yanga haijafika hiyo level ya kuwa na mchezaji kivuli uwanjani huku ukiwa haina wachezaji wenye kutoa matokeo ya uhakika. Huyo Romario alikuwa ball dancer ila pia alikuwa na msaada mkubwa sana katika nchi yake hususani kufunga na kutoa pasi za magoli ila pia kulikuwa na wengine kibao ambao walikuwa muda wowote wanafunga kama Ronaldo, Dunga, Rivardo na wengine.

Je Skudu atakuwa na faida ipi huku Yanga ikiwa inahitaji matokeo na sio mpira wa majukwaa?
 
Habari wanaJf

Katika kufuatilia aina ya uchezaji wa hawa wachezaji wawili Onana wa Simba na Skudu wa Yanga kwa mechi mbili walizocheza kwa maana zile za utambulisho wa wachezaji na ngao ya jamii kule Tanga kuna vitu nimeviona vya utofauti kutoka kwa wachezaji hawa.

Mahalatse Makudubela "Skudu" amekuwa ni mchezaji ambaye amekuwa akifanya mambo mengi uwanjani yasiyo na tija kwa timu yake ikiwa pamoja na kupenda kukaa sana na mpira lakini mwishowe kupoteza lengo la huo mpira kwa kutozalisha faida yeyote. Amekuwa ni mchezaji wa kutaka sana kushangiliwa kwa kufanya vitu ambavyo mpira wa kisasa unavikataa 'ball dancer' japo amekuwa akiimbwa sana na mashabiki wa Yanga ila kwa mechi hizo mbili ikiwa hajafanya kitu chochote kilicholipa jitihada za mashabiki kumshangilia.

Willy Essomba Onana nae ameimbwa na mashabiki wake lakini amevimba kichwa kwa kutaka kuivaa Simba kuliko kutoa alichonacho jambo ambalo hupelekea kucheza kistaa na kupelekea kupoteza mpira kirahisi mno. Lakini faida ya huyu jamaa ni aina ya mpira wake ambao ni direct and objective footbal[emoji460] ambao ni aina ya soka la kisasa linalopendwa na makocha wengi wa kisasa duniani japo kuna wakati amekuwa akifanya mambo yanayoigharimu timu. Ameipa Simba mwanga na faida ya kile alichonacho.

Kwa soka la bongo ambalo leo shujaa kesho hufai kwa aina ya uchezaji wao na matumaini makubwa waliyonayo mashabiki wao wanayotegemea kutoka kwao je ni kweli wataendelea kupewa imani hiyo au watasalitiwa mapema tu?

Kwa wataalam wa masuala ya soka na wenye jicho la uchambuzi ni mchezaji yupi atakuwa wa kwanza kupewa "Thank you" na timu yake kwa hawa wachezaji wawili?
Kama John Boko anacheza Simba Scudu ana shida gani?
 
Skudu siku anatambulishwa alitoa shoo kali sana pale alicheza na mpira mpaka mashabiki wakapagawa. Kituko nikakiona kwenye utambulisho wa Simba yupo mchezaji alikuwa anahangaika kuutuliza mpira kichwani bila mafanikio ya Ngoswe muachie Ngoswe[emoji23]. Skudu kapeleka burudani Jangwani
 
Habari wanaJf

Katika kufuatilia aina ya uchezaji wa hawa wachezaji wawili Onana wa Simba na Skudu wa Yanga kwa mechi mbili walizocheza kwa maana zile za utambulisho wa wachezaji na ngao ya jamii kule Tanga kuna vitu nimeviona vya utofauti kutoka kwa wachezaji hawa.

Mahalatse Makudubela "Skudu" amekuwa ni mchezaji ambaye amekuwa akifanya mambo mengi uwanjani yasiyo na tija kwa timu yake ikiwa pamoja na kupenda kukaa sana na mpira lakini mwishowe kupoteza lengo la huo mpira kwa kutozalisha faida yeyote. Amekuwa ni mchezaji wa kutaka sana kushangiliwa kwa kufanya vitu ambavyo mpira wa kisasa unavikataa 'ball dancer' japo amekuwa akiimbwa sana na mashabiki wa Yanga ila kwa mechi hizo mbili ikiwa hajafanya kitu chochote kilicholipa jitihada za mashabiki kumshangilia.

Willy Essomba Onana nae ameimbwa na mashabiki wake lakini amevimba kichwa kwa kutaka kuivaa Simba kuliko kutoa alichonacho jambo ambalo hupelekea kucheza kistaa na kupelekea kupoteza mpira kirahisi mno. Lakini faida ya huyu jamaa ni aina ya mpira wake ambao ni direct and objective footbal[emoji460] ambao ni aina ya soka la kisasa linalopendwa na makocha wengi wa kisasa duniani japo kuna wakati amekuwa akifanya mambo yanayoigharimu timu. Ameipa Simba mwanga na faida ya kile alichonacho.

Kwa soka la bongo ambalo leo shujaa kesho hufai kwa aina ya uchezaji wao na matumaini makubwa waliyonayo mashabiki wao wanayotegemea kutoka kwao je ni kweli wataendelea kupewa imani hiyo au watasalitiwa mapema tu?

Kwa wataalam wa masuala ya soka na wenye jicho la uchambuzi ni mchezaji yupi atakuwa wa kwanza kupewa "Thank you" na timu yake kwa hawa wachezaji wawili?
Onana anaweza akawa mchezaji wa kawaida tu, ila ana force ufalme. Yaani katika mbio ndefu ye anataka alazimishe kuanza na speed kali ili wenzie waanze kumfuata nyuma. Anataka ndio awe leading goal getter wa timu.

Hivi vitu huja automatically tu. After a time na several matches with several substitutes kocha atapata tu first eleven. Sio Kwa kulazimisha hata umebanwa hutaki kutoa pasi.

Skudu ni mzuri wa chenga, mbio na entertainment football. Ila tu mechi ya juzi imetoa mshtuko kidogo. Kwamba kati ya umri na pancha (gari ya mkaa, trip shamba trip gereji) inawezekana kimojawapo au vyote vikamuathiri.

All in all muda ndio hakimu mzuri, itafahamika tu.
 
Habari wanaJf

Katika kufuatilia aina ya uchezaji wa hawa wachezaji wawili Onana wa Simba na Skudu wa Yanga kwa mechi mbili walizocheza kwa maana zile za utambulisho wa wachezaji na ngao ya jamii kule Tanga kuna vitu nimeviona vya utofauti kutoka kwa wachezaji hawa.

Mahalatse Makudubela "Skudu" amekuwa ni mchezaji ambaye amekuwa akifanya mambo mengi uwanjani yasiyo na tija kwa timu yake ikiwa pamoja na kupenda kukaa sana na mpira lakini mwishowe kupoteza lengo la huo mpira kwa kutozalisha faida yeyote. Amekuwa ni mchezaji wa kutaka sana kushangiliwa kwa kufanya vitu ambavyo mpira wa kisasa unavikataa 'ball dancer' japo amekuwa akiimbwa sana na mashabiki wa Yanga ila kwa mechi hizo mbili ikiwa hajafanya kitu chochote kilicholipa jitihada za mashabiki kumshangilia.

Willy Essomba Onana nae ameimbwa na mashabiki wake lakini amevimba kichwa kwa kutaka kuivaa Simba kuliko kutoa alichonacho jambo ambalo hupelekea kucheza kistaa na kupelekea kupoteza mpira kirahisi mno. Lakini faida ya huyu jamaa ni aina ya mpira wake ambao ni direct and objective footbal[emoji460] ambao ni aina ya soka la kisasa linalopendwa na makocha wengi wa kisasa duniani japo kuna wakati amekuwa akifanya mambo yanayoigharimu timu. Ameipa Simba mwanga na faida ya kile alichonacho.

Kwa soka la bongo ambalo leo shujaa kesho hufai kwa aina ya uchezaji wao na matumaini makubwa waliyonayo mashabiki wao wanayotegemea kutoka kwao je ni kweli wataendelea kupewa imani hiyo au watasalitiwa mapema tu?

Kwa wataalam wa masuala ya soka na wenye jicho la uchambuzi ni mchezaji yupi atakuwa wa kwanza kupewa "Thank you" na timu yake kwa hawa wachezaji wawili?
Umeingia kwenye propaganda za wachambuzi wetu. Skudu Mechi dhidi ya Azam amecheza dk 7 akaumia na mechi ya kaizer hakumaliza dk.90 ila alicheza vizuri.

mnataka kutuaminisha kuwa Skudu hana chochote zaidi ya kuchezea mpira kitu ambacho si kweli. Mechi ya Kaizer alikuwa na shots on target na alipiga crosses nzuri sasa sijui huo ubaya wake uliuona kwenye mechi gani?
 
SKUDU yupo sana,

Kitakachombeba ni Ukubwa na Uimara wa timu ya YANGA

Hata akikaa juu ya mpira still kuna wachezaji wengi uwanjani watakaoleta ushindi wa Yanga, yule amewkwa pale ili kuburudisha na kupose na mpira muda uende

Ulishamsikia mchezaji anaitwa Romario De Souza Fària (Romario) zamani?
pili kwaajili ya kujaribu kuizubaisha ngome, (kutengeneza taharuki) kwa timu pinzani
 
Skudu siku anatambulishwa alitoa shoo kali sana pale alicheza na mpira mpaka mashabiki wakapagawa. Kituko nikakiona kwenye utambulisho wa Simba yupo mchezaji alikuwa anahangaika kuutuliza mpira kichwani bila mafanikio ya Ngoswe muachie Ngoswe[emoji23]. Skudu kapeleka burudani Jangwani
Hivi ni mchezaji gani yule aliyekuwa anaweka mpira kichwani kwa mikono? 😅
 
Habari wanaJf

Katika kufuatilia aina ya uchezaji wa hawa wachezaji wawili Onana wa Simba na Skudu wa Yanga kwa mechi mbili walizocheza kwa maana zile za utambulisho wa wachezaji na ngao ya jamii kule Tanga kuna vitu nimeviona vya utofauti kutoka kwa wachezaji hawa.

Mahalatse Makudubela "Skudu" amekuwa ni mchezaji ambaye amekuwa akifanya mambo mengi uwanjani yasiyo na tija kwa timu yake ikiwa pamoja na kupenda kukaa sana na mpira lakini mwishowe kupoteza lengo la huo mpira kwa kutozalisha faida yeyote. Amekuwa ni mchezaji wa kutaka sana kushangiliwa kwa kufanya vitu ambavyo mpira wa kisasa unavikataa 'ball dancer' japo amekuwa akiimbwa sana na mashabiki wa Yanga ila kwa mechi hizo mbili ikiwa hajafanya kitu chochote kilicholipa jitihada za mashabiki kumshangilia.

Willy Essomba Onana nae ameimbwa na mashabiki wake lakini amevimba kichwa kwa kutaka kuivaa Simba kuliko kutoa alichonacho jambo ambalo hupelekea kucheza kistaa na kupelekea kupoteza mpira kirahisi mno. Lakini faida ya huyu jamaa ni aina ya mpira wake ambao ni direct and objective footbal[emoji460] ambao ni aina ya soka la kisasa linalopendwa na makocha wengi wa kisasa duniani japo kuna wakati amekuwa akifanya mambo yanayoigharimu timu. Ameipa Simba mwanga na faida ya kile alichonacho.

Kwa soka la bongo ambalo leo shujaa kesho hufai kwa aina ya uchezaji wao na matumaini makubwa waliyonayo mashabiki wao wanayotegemea kutoka kwao je ni kweli wataendelea kupewa imani hiyo au watasalitiwa mapema tu?

Kwa wataalam wa masuala ya soka na wenye jicho la uchambuzi ni mchezaji yupi atakuwa wa kwanza kupewa "Thank you" na timu yake kwa hawa wachezaji wawili?
Acha kuwaombea binadamu wenzako njaa. Na wenyewe wana familia na wategemezi kama wewe.
 
Umeingia kwenye propaganda za wachambuzi wetu. Skudu Mechi dhidi ya Azam amecheza dk 7 akaumia na mechi ya kaizer hakumaliza dk.90 ila alicheza vizuri.

mnataka kutuaminisha kuwa Skudu hana chochote zaidi ya kuchezea mpira kitu ambacho si kweli. Mechi ya Kaizer alikuwa na shots on target na alipiga crosses nzuri sasa sijui huo ubaya wake uliuona kwenye mechi gani?
Hata takwimu za huko alikotoka hakuwa nzuri kwa namba hii inamaanisha style yake ya uchezaji ni entertain tu sio kuleta matokeo chanya au kuibeba timu kuipa mafanikio

Je Yanga wanahitaji mchezaji mwenye kariba hiyo wakati ambao timu inatafuta kujitengeneza iweze kuleta ushindani?
 
Skudu ni mzuri wa chenga, mbio na entertainment football. Ila tu mechi ya juzi imetoa mshtuko kidogo. Kwamba kati ya umri na pancha (gari ya mkaa, trip shamba trip gereji) inawezekana kimojawapo au vyote vikamuathiri.
Nahofia kuwa hiki ndicho kitakachomchomoa huyu jamaa soon tusijifanye hatujui tabia za mashabiki wetu
 
Acha kuwaombea binadamu wenzako njaa. Na wenyewe wana familia na wategemezi kama wewe.
Lete tathimini yako ya soka sio porojo lengo ni kujua nani ataleta mafanikio katika timu..in short hizi ni sajiri mbili zilizoimbwa sana na mashabiki wa hizi timu
 
Lete tathimini yako ya soka sio porojo lengo ni kujua nani ataleta mafanikio katika timu..in short hizi ni sajiri mbili zilizoimbwa sana na mashabiki wa hizi timu
Unataka tathmini ya nini na wakati ligi bado haijaanza! Wewe ndiyo unaueleta porojo. Maana huwezi kufanya evaluation kwa mchezaji aliyecheza mechi moja tu ya Ngao ya Jamii.
 
Back
Top Bottom