Nakumbuka Skudu alikaribia kufunga Mechi na Kaizer na Kross kama 6 hivi.
Onana alifunga Mechi yake ya Kwanza tu na akawa threat kwenye Mechi hiyo.
Mnataka wafanye nini zaidi labda?
Skudu kakamiwa na Wachezaji wa Azam na kuumizwa dakika chache baada ya mechi kuanza. Nani haumii akichezewa rafu? Inonga kaumia sababu ya upuuzi wa Kagere, naye ni gari la Mkaa?
Onana kacheza Mechi ya Singida kama winger na kisha second striker na akasumbua Sana japo hakufunga. Mnataka kumuona Kila siku anafunga ndo mseme ni mzuri?
Muda utaongea wala si lazima wapewe hizo senki yuu unazowaombea.