Once a stranger...

mkuu lizzy atatusamehe kwa kuchakachua hi thread
but leo man wamenikumbusha barthez....nimejikuta nacheka peke yangu lol

Goli la pili niliagiza Mvinyo Mweupe wakati Mchungaji huwa na kwenda na kitu red -cabernet

Bila shaka Lizzy atampa poem naye David de Gea
 
Goli la pili niliagiza Mvinyo Mweupe wakati Mchungaji huwa na kwenda na kitu red -cabernet

Bila shaka Lizzy atampa poem naye David de Gea

mkuu kama unakumbuka shamrashamra na majigambo ya kumsajili barthez
na jinsi magoli ya kitoto aliyokuja kufungwa,,huwa nacheka peke yangu mpaka leo still nikikumbuka lol
lizzy sorry aisee
 
Hahaha...Kloro kwani umesahau kwamba kimombo nilijifunza kwaajili yako?!Hiyo vocha ongeza mara mbili!!!

Hehehe afazali, maanake nakumbuka last time nilikutext halaf ile text haikukamilika ikaandika "some txt is missing" nakumbuka ukanijibu "some txt is missing too honey" ,Nilicheka kweli aisee, Nimekusamehe lakini.
 
mh, wifi naona watoto bado hawajalala. ila tu ujue kuna kaugonjwa ka scents.
and u can smell people's breath and sometimes its nt funny..

Hahahaha...wifi kama unataka mafua tafuta wale wasiojua bei ya colgate na deo!!
 
ar u talking monetary costs or that one of having to deal with my bro?
wifi, i am watching u closely...

Wifi mbona kaka yako yuko hapa pembeni...usishangae kugundua mengine anaandika yeye!!lolz
 
mkuu kama unakumbuka shamrashamra na majigambo ya kumsajili barthez
na jinsi magoli ya kitoto aliyokuja kufungwa,,huwa nacheka peke yangu mpaka leo still nikikumbuka lol
lizzy sorry aisee

Kwa style hii hupati dedication wala nini,..naomba ubebane na huyo baba mchungaji mkaongelee mpira nje!!!
 
Hehehe afazali, maanake nakumbuka last time nilikutext halaf ile text haikukamilika ikaandika "some txt is missing" nakumbuka ukanijibu "some txt is missing too honey" ,Nilicheka kweli aisee, Nimekusamehe lakini.

Hahahhaha...kuaibishana hadharani sio ishu kabisa Kloro!!!
 
hahaha, yaani ukiwa sensitive na harufu ni mateso japo yaweza kuwa faida! nini mafua, unaweza tapika kabisaa,lol!

Hahahaha...wifi kama unataka mafua tafuta wale wasiojua bei ya colgate na deo!!

ila inabidi umpunguzie kakangu limbwata! wifi,inabidi unioneshe mganga wako plz!
Wifi mbona kaka yako yuko hapa pembeni...usishangae kugundua mengine anaandika yeye!!lolz
 
Kwa style hii hupati dedication wala nini,..naomba ubebane na huyo baba mchungaji mkaongelee mpira nje!!!

nilihisi tu nitakosa ile dedication....
mchungaji tafadhali nyamaza kabisa sasa
lizzy atarudisha moyo,niipate ya kwangu....lol
 
Mama angu alinambia nikifika mjini nisiongee na stranger, nimekaidi, sasa hata njia ya kurudi home siioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…