Ondoa Mikosi Maishani Mwako kwa Chumvi

Ondoa Mikosi Maishani Mwako kwa Chumvi

Chumvi inahusika vipi kutibu tatizo la tumbo.
Jilani yangu kanigongea saa kumi kamili usiku anahitaji chumvi na sukari mama yake anaumwa tumbo

Katika hali isiyo ya kawaida kanigongea dilishani ikiwa mlango wangu na wake viko karibu karibu sana tofauti na kwenda nyuma ya nyumba kugonga dilisha.

Nimelifikilia ili suala sana.imekaaje hii mkuu?

Ikumbukwe mchana wa siku hiyo nimemwaga sana maji ya baraka na upako ndani kwangu na nyumba yote kwa ujumla.alafu usiku wa saa kumi mtu anakuja kuniomba chumv na sukari.
Hakuna uhusiano wowote wa maji ya baraka uliyomwaga na jirani yako kuja kukugongea hapo.
 
Mshana Jr naweza tumia chumvi ya mawe ku protect biashara yangu na JUJU za watu wenye roho mbaya na natumiaje ?
 
Back
Top Bottom