Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,170
Hawa watu wenye asili ya nchi mbili ni bora serikali iweke sheria ya kuwatambua Kama ni wageni/wahamiaji tu. Hivi mtu kama huyo ukimpa nafasi nyeti serikalini unategemea ataifanya kwa uaminifu kweli ikiwa ana maslahi/mapenzi na nchi nyingine? Haiwezekani tukawa na watanzania wanaoitukana nchi yao huku wakijificha ili wapate ardhi ya kujenga na kulima chakula. Rwanda ingekuwa ni nchi kubwa, hawa watu wasingethubutu kujiita wasukuma, wasingekuwa wanakimbilia Tsnzania, Ila shida zao ndizo zinawafanya wakimbilie Tanzania.ni ya Phillipo Bukilillo, mtanzania mwenye asili ya Kinywarwanda anayakataa unyarwanda.
Umenena mkuuKuna tofauti ya maisha ya kawaida na maisha ya siasa hao wanyarwnda wa asili ya kitusi ni kama panya wanakula na huku wana puliza. Unaweza ishi na mnyarwanda hata miaka 20 na usijuwe alicho nacho moyoni ila siku ikifika ndipo utamjua ni nani! Wewe kaa kimya tu huwezi jua ukarimu na uzuri wa watu kwa safari zako za hapa na pale siku mbili unarudi na kusema ni watu wazuri wewe kuwa makini unapo towa post kama hizi, kuna watu wameisha ishi na hao watu zaidi ya miaka kumi na wana wafahamu vema. Kiufupi sio watu wazuri kwa jamii tofauti naya kitusi.
Ahsante kwa habari njema kwani kuna wakati siasa na wanasiasa wanaweza kufanya ukachukia aina ya watu Fulani bila sababu za msingiWaungwana kaka yenu nakaribia kurudi nyumbani baada ya kuishi hapa DRC kwa Takriban miaka 2.
Katika kipindi chote nilichokaa hapa nimejifunza mengi sana ila leo nitazungumzia kuhusu hawa jirani zetu Wanyarwanda.Maana nimekua nikipita hapa mara kwa mara. Kwa kifupi ondoeni dhana potofu kuhusu hawa jamaa maana mimi dhana hiyo tayari nimesha ifuta. Wengi wenu kama sio wote mnadhani kuwa wanyarwanda ni watu ''wasio poa'' au ni wenye majivuno labda wengine mnadhani eti hawatupendi Watanzania.
Dhani hizi ni potofu kweli kweli, mwanzoni nikipita hapa sikua nikiongea kiswahili ili nisitambulike maana niliogopa kweli hawa jamaa. Baadae nikagundua dhana yangu sio sahihi kabisa na Mungu anisamehe.
Hawa jamaa hawana shida kabisa na wageni hasa Watanzania. Nimekaa Hoteli mbali mbali hapa nikiwa transit kwenda DRC au kurudi Home Tanzania, na kote huko nimechukuliwa vizuri sana tu.
Sio hotel tu , nimepanda boda boda, nimefika masokoni, msikitini , madukani kote huko hawa jamaa ni wakarimu sana na nimetendewa vizuri kwa kweli.
Wacha niweke mifano michache hapa mnielewe, nasisitiza michache mana nimengi nimeyaona positive.
1. Nikitoke DRC kurudi home ( niko njiani) tukiwa pale Kingarama Restaurant nikapata shida kidogo ya chenji ya Dollar kwa FRC ya Rwanda ili nipate Supu, wakati nikitaka kutoka nikatafute nje chenji mzee mmoja akasema kumwambia mhudumu mwache apate hiyo supu nitalipa mimi kama 'felistation' maana walitufunga kombe la CHAN huyu mzee alijua mimi ni Mkongo, nikala na wala hakukaa kuni bore kwa vile ameninunulia supu alitimua.... nikashangaa maana DRC husema hawa jamaa hawawapendi
2. Mh PK alitoa ma Bus kadhaa kuja pale Gisenyi kuchukua mashabiki wa DRC bure ili waje washangilie timu yao .... BUS zilijaa wakongo na walilindwa na wakarudi kwa amani.
3. Nilipofika Kigali na baada ya kuchukua Hotel, nikataka kwenda Masjid kusali , nikauliza Reception , kwa mshangao akadakia jamaa mmoja na kuniambia ''msikiti uko mbali ila subiri nitakupeleka maana naelekea njia hiyo hiyo huyu hakua musilam na hakua akinijua , ni tax man tu alie leta mteja pale. Njiani tulipiga soga sana.
4. Nikiwa hapa kwa siku ya pili na ticketi yangu ikiwa ya jioni nikaona ni negotiate nikae mpaka jioni kwa kulipa kidogo chumba maana check out ni saa tano asubuhi... Manager akasema ''kaa tu usilipe chochote , karibu tena wakati mwingine''.
5. Huko mitaani niliko kwenda kutembea jana usiku, nilikutana na ukarimu sana hasa unapouliza direction na mengine. hawa jamaa wana smile sana na sio ya smile ya kinafiki au ya kutegemea kitu
(a) Kitu nimegundua labda unaweza sema cha kushangaza au sio kizuri ni kwamba watu hapa hawaongelei siasa sana , ni aghalabu kukuta watu wakiongelea siasa hapa tofauti na home TZ kila mtu politician
(b) Printing media sio nyingi ila TV station wanazo nyingi tu
(c) Polisi ni vijana na hawacheki cheki wako serious kweli ila ukiuliza kitu wanakujibu vizuri tu
(e) Rushwa hapa sio sana labda niseme hakuna, polisi akikumata unaandikiwa charge hakuna zile za kuvutana nyuma ya gari na watu wanatii sheria kweli kweli
(f) Ule mfumo wa ukusanyaji kodi kila duka hapa, na kuna ka machine kama ka fingure print sijauliza ni ka nini ila ni ka mamlaka ya Kodi ya Rwanda. ( hapa nikakumbuka zile machine zetu sijui zilishia wapi maana zilileta sintofamu)
(g) Taxi zina Automatic Counter kama za Europe
NIMEONA MENGI WACHA NIACHIE HAPA NA WENGINE WACHANGIE MAANA NATUMAINI KUNA WENGI WAMEPITA HAPA PIA, WITO WANGU KAMA UNA JIRANI YAKO MNYARWANDA USIMTENDEE VIBAYA HAWA WATU WENGI WAO NI WAZURI SANA KWETU
Hizo ni Chuki binafsi na Wivu usiokuwa na maana.Of all the countries hatuwezi kuwaiga wala kuwaonea wivu Wanyarwanda na ni ujinga kufananisha Rwanda na Tanzania. Pengine ufananishe Rwanda na Mkoa wa Kigoma. Serikali ya Rwanda inanuka damu na dhuluma kwa wahutu iliyowaua na kwa madini wanayoyiba huko DRC. Sisi tuna Serikali ya kedemokrasia na tunaruhusu uhuru wa mawazo wakati huko Rwanda kuna udikteta na utawala wa kiimla tu. Tuna ma-Rais watatu wamebadilishana madaraka katika kipindi ambacho Rwanda ina Rais mmoja anayeendelea kuua wapinzani wake wa kisiasa. Kimsingi hatuna cha kujifunza toka Rwanda
we kweli nyumbu, nimeponda nini cha nyumbani?! usukuma wangu achana nao jali unyumbu wako, mtutsi ni wewe nyumbu na ukoo wako wa manyumbu, kwani kuwa msukuma ni big deal na kuwa mtutsi ni makosa?! mbona mie ni msukuma lakin sioni usukuma wangu unavyonisaidia katika maisha ya kila siku. kwenye duka la mkate wanataka hela na sio kabila la mtu, vile vile idara ya maji kwenye bili zao ni hela tu hakuna punguzo kwa kabila lolote, tanesco, nauli kwenye usafiri, sokoni, nk. ebu wewe nyumbu tuambie unyumbu wako unakusaidia nini?!Msukuma gani wewe umayeweza kuponda vya nyumbani kwenu? Wewe ni mtutsi tu hata kama ukizaliwa Tanzania.
Baba yangu alifanya kazi serikalini kabla hata mimba yako haijatungwa kwenye tumbo la Mama yako. Mama yangu alifanya kazi serikalini miaka mingi sana. Sasa usiropoke humu JF kwa sababu hatufahamiani ukajiona una akili sana. Hao wanaoitwa watanzania si ndio hao hao ambao rais magufuli anawatumbua majipu. Utanzania wao unafaida gani kwa nchi waliyozaliwa. Waliofilisi mashirika yote ya umma wana pasipoti halali za Tanzania, utanzania wao una mchango gani kwa Taifa lao. Viongozi wa mashirika ya umma wanaosubiri kutumbuliwa baada ya TAKUKURU kuanza kazi, wote wanazo pasipoti za Tanzania, utanzania wao una faida gani kwa mwananchi wa kijijini ambaye hajawahi kuchota maji ya bomba tangu azaliwe?. Rwanda na udogo wake, ni nchi safi mara mia moja kuliko Tanzania. Kigali na udogo wake huwezi kuilinganisha na Dar kwa swala la usafi. Mpaka aje Magufuli ndipo tutambue maana ya usafi!. Pride ya utanzania inakusaidia nini wakati kila katika ofisi unayoingia unatoka nje ukiwa na malalamiko zaidi ya mia moja!. Rafiki yangu mimi ni mtanzania kuliko wewe, nimekulia maisha ya jijini Dar tena Dar ile ya zamani sio hii Dar ya foleni za magari kila siku. Nimekimbiza mwenge enzi zile za awamu ya kwanza. Sidhani kama ulikuwepo duniani. Be careful, usiongee maneno ya kipumbavu ukapata support ya wajinga, ukajiona una akili.Hawa watu wenye asili ya nchi mbili ni bora serikali iweke sheria ya kuwatambua Kama ni wageni/wahamiaji tu. Hivi mtu kama huyo ukimpa nafasi nyeti serikalini unategemea ataifanya kwa uaminifu kweli ikiwa ana maslahi/mapenzi na nchi nyingine? Haiwezekani tukawa na watanzania wanaoitukana nchi yao huku wakijificha ili wapate ardhi ya kujenga na kulima chakula. Rwanda ingekuwa ni nchi kubwa, hawa watu wasingethubutu kujiita wasukuma, wasingekuwa wanakimbilia Tsnzania, Ila shida zao ndizo zinawafanya wakimbilie Tanzania.
Huyo konda wa daladala ana akili mbovu sana, kila mtu anamchukulia simple tu.we kweli nyumbu, nimeponda nini cha nyumbani?! usukuma wangu achana nao jali unyumbu wako, mtutsi ni wewe nyumbu na ukoo wako wa manyumbu, kwani kuwa msukuma ni big deal na kuwa mtutsi ni makosa?! mbona mie ni msukuma lakin sioni usukuma wangu unavyonisaidia katika maisha ya kila siku. kwenye duka la mkate wanataka hela na sio kabila la mtu, vile vile idara ya maji kwenye bili zao ni hela tu hakuna punguzo kwa kabila lolote, tanesco, nauli kwenye usafiri, sokoni, nk. ebu wewe nyumbu tuambie unyumbu wako unakusaidia nini?!
miafrika ndivyo tulivyo
Anataka kuudhi watu kama siePlease saidia ufafanuzi hapo pa kufananisha na Mkoa wa Kigoma huku unazungumzia dhuluma, mauwaji na wizi wa madini.
Kigoma nao wanafanya kama haya wanayoyafanya Rwanda?
HahahaJione unavyojiumbua, kumbe unajua tunamshambulia kagame lakini nyinyi mnasema tunawashambulia wanyarwanda! Kwani Kagame ndio wanyarwanda wote? Tulimpompiga Iddi Amin waganda walituchukia? Na je watanzania ndio watu pekee tunaomchukia kagame? Huko DRC alikokaa mleta mada, hakuona wala kusikia wacongo walivyokata mauno kwa furaha waliposikia tetesi kuwa Kagame kafa?
Na je kwa nini unadai ni 'dhana potofu' kumshambulia Kagame? Katika mambo ambayo Kagame anashutumiwa wewe umejibu mangapi ambayo ni potofu?
Jamaa amepita Rwanda tuUmekomaa kuwatetea watu usiowajua, tuambie umeishi Rwanda miaka mingapi? Maana huwezi kukomaa namba hiyo, au na wewe umetumwa. Personality ya huwezi kuijua kwa siku mbili. Mkiweza si mnaenda kuomba uraia, si hawana tabu. Tuacheni tunayoipenda Tanzania yetu, mama yako hata akufanyie kosa gani bado ni mama yako. Kwangu ni Tanzania na naipenda ncji yangu, sijwahi kutamani kuwa raia wa taifa tofauti. H
Kigoma kuna kijiji kinaitwa manyovu kipo wilaya ya kasulu.. Katika kijiji hicho kuna sehemu inaitwa utusini na wanaishi wao tu... Wana roho mbaya mpaka kwa watanzania..
Kuna rafiki yangu mmoja ni mtusi anatokea hicho kieneo aliwah kuniambia muda wowote anawaza kumuua
muhutu....
Mtoa mada huwajui vizuri watusi nakuomba ukae kimya... Me nimekuwa na kuishi na watusi nawajua saaaaaaaana.... Wana roho mbaya saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana... Siongei kinadharia kama unataka kuthibitisha hili muulize Mtanzania anaeishi kigoma wilaya za kasulu vijijin au kibondo watakupa Na kukusimulia mengi...
Nakumbuka mwaka 2005 kwenye uchaguzi wa mbunge wa kgoma mjini... Peter Serukamba kama sio Ccm alikuwa anapigwa chini kwa sababu mbunge wa chadema kipindi hicho Dr. Aman Walid kabourou alikuwa anawaonya watu kuwa jamaa ni mtusi na anajua lengo la ...... kumtaka awe mbunge... Jaribun kuulizia mpate vitu
Unajenga picha mbovu sana ya ubaguzi, kwa hiyo kama serukamba mtutsi uwezo wake usiisaidie jamii!!!, ubaguzi huo ulikuwa chanzo cha watu wengi kufa mwaka 1994. Kwa hiyo mtu kuzaliwa mtutsi ni kosa la jinai. Kaka unataka tuendelee kuishi katika karne hii tukiwa ndani ya fikra za kikabila!!. Kaka you are totally wrong. Akili za Hitler ndio kama hizi, alihalalisha kifo cha wayahudi kwa kujenga hoja, bahati mbaya waliozisikiliza na kuzitekeleza.
Usiwe mkurupukaji soma vizuri alichosema Daud1990 hapo juu kuhusu madai ya Dr. Walid Aman Kabourou kumhusu serukamba
Tanzania haina kabila la watu wanaoitwa watutsi kama ambavyo
rwanda isivyo na kabila la wachagga nchini kwao, hivyo ni kosa kisheria kwa mtutsi kushika nyadhifa za kisiasa au kiserikali nchini Tanzania kama ambavyo mchagga asivyoruhusiwa kushika nyadhifa za kisiasa au kiserikali nchini rwanda, hapo ndipo kunakozaliwa hisia za utaifa na uraia kwenye jamii zote duniani. Hata mimi sipendi ubaguzi, Ila kwa kuwa tumeridhia kwamba waitwe watanzania na wengine waitwe wanyarwanda hakuna tatizo, kikubwa tu kusiwe na miingiliano inayoweza kuondoa tofauti hizo za utaifa kwa kila mtu kutoka kwenye nchi yake. Huo ubaguzi unaousema sijui ni upi?
Picha ya Eistein ina uhusiano gani na mchango wako kwenye hii thread? Hilo la ubaguzi umelisema wewe, hakuna mahali nilipoonesha ubaguzi, au unaweza kuonesha huo ubaguzi?Unatumia avatar yenye picha ya einstein halafu unaongelea ubaguzi dhidi ya serukamba!!. Vitu viwili tofauti, huyo Eistein alikuwa myahudi, jamii ya watu ambao Hitler alitaka kuwamaliza wote duniani. Watu hao ni wahanga wa ubaguzi kama watutsi kule Rwanda. Jaribu kuoanisha mambo yako, ili ufanane na muonekano wa avatar yako
Labda wanaweza kukuelewa upya.Nataman nianzishe uzi kuhusu watusi nadhani wanaopinga wangeelewa... Nimeishi na watusi ninawajua since my childhood
"mihemuko" ambayo huchoki kuijibu!we unaziona ni facts lakin kiuhalisia sio facts, ndo maana nikasema facts gani za vile? elewa zile sio facts positively wala negatively bali ni mihemuko yako tu ya kila siku hapa jukwaani
1. Kumbe huna ujualo kuhusu Rwanda, sasa hizo hoja zako za Rwanda imetuzidi Tanzania hiki na kile umezitoa wapi?My friend tusisumbuane akili kama unaweza uka google then why should you tell me to tell you things that you can find by yourself. Mheshimiwa kama huna jambo la kufanya vuta shuka ulale. Hii ni mada ya juzi unaendele kuivuta kwa misingi ipi?. Tafuta la kufanya ufanye, hii mada sio mpya.