Ondoa ''misconception'' kuhusu Wanyarwanda

Msimamo wako juu ya Rwanda unampa shida kila mtu kuamini hiyo historia yako na uraia wako. Huwezi kuwa na umri kama huo halafu usijue historia ya wazi kabisa ya Rwanda.
 
Unaharibu mkuu kuifananisha nchi na mkoa. Una maana mkoa wa kigoma nao unanuka damu za watu? Tuache haya...

Rwanda na Burundi ni nchi zenye makabila makubwa mawili yaani wahutu-majority na watutsi-minority. Lkn pia huwa kuna watwa ambao ni chini ya 5% na wansjumuishwa na wahutu.

Watutsi ndio wenye shida kutokana na imani yao kuwa wao ni matajiri na ni watawala. Kamwe hawapendi kuwa chini ya mtu.

Pili, mleta mada na wachangiaji baadhi wanadai mauaji ya kimbari yaliwafunza mengi lkn napenda kukuhakikishia kuwa ubaguzi wa ututsi na uhutu bado uko na kwa rwanda ndio wanaofaidi nchi wkt kwa burundi ndio wanaopigana kuyapata madaraka.

Ili ujue ubaguzi uliopo, nenda kafanye urafti ujue ni wangapi wameoana, au wewe jaribu kuchumbia mtutsi uone kama utafanikiwa kumwoa, na kama utamwoa, tuleteee mrejesho wa ndoa yako baada ya miaka 10 tu unatosha kufanya tathmini.

Tatu, watutsi ni wakarimu machoni lkn watu wa kisasi na roho mbaya moyoni mwao. Anaweza kukuchekea, lkn ataa na ubaya dhidi yako maisha yake yote na atarithisha kwa wanae.

Kwa hapa Tanzania, kabila lenye ukarimu wa hali ya juu lkn ni wakatili zaidi kuliko kabila nyingine ni WASUKUMA. Hawa jamaa zangu smile face haikatiki usoni lkn wanaweza panga mauaji ya ndugu yao wa damu kwa kukata mapanga na kumlipa ng'ombe wawili hadi wanne. Ndiyo maana mauaji yanayoambatanishwa na imani za kishirikina huku usukumani ni mengi na ni ndugu kwa ndugu.

Hivyo, smiling face wala ukarimu usikutishe. Kwetu tuna imani na tumeona, wanao tuhumiwa uchawi 98% ni wakarimu muno. Wanaonesha ni wenye upendo sana
 
Rwanda hawana kipindupindu, Tanzania mpaka leo inahangaishana na uchafu.Tanzania imejaa ujuaji wa kibwege, Rwanda hawana muda huo. Rwanda inajiamini mpaka inaweza kuandaa michuano ya CHAN na baada ya miaka michache ijayo itaanda michuano ya AFCON, Tanzania yenye miaka 55 ya kuwa huru imewahi kuandaa michuano yoyote ile ya Afrika?. Tanzania ni nchi yetu lakini inaposhindwa kufanya mambo kiuweledi lazima tuiseme. Tulipokuwa watoto tulikuwa tunapigwa sindano, kuanzia inapoingia kwenye makalio mpaka wakati dawa inaingia mwilini, ni maumivu matupu, lakini tulikuwa tunaponywa dhidi ya maradhi mengi tu. Ni lazima nchi yetu tuipige sindano ili iweze kupona. Kujiunga JF mwaka jana au mwaka juzi sio ujanja. Kuna wajinga wangapi wanajiunga JF kila kukicha?. Mimi ninaijua Rwanda na ninayajua madhara ua vita za mwaka 1994, wale wakimbizi wa Rwanda walitengenezewa kambi yao pale Ngara, kama kilometa moja na nusu kutoka katika eneo la Baba yangu. Ninawajua wanyarwanda pengine kuliko wewe unayetafuta umaarufu wa bei rahisi.
 
Msimamo wako juu ya Rwanda unampa shida kila mtu kuamini hiyo historia yako na uraia wako. Huwezi kuwa na umri kama huo halafu usijue historia ya wazi kabisa ya Rwanda.
Tanzania inaugua ugonjwa wa kupenda kusifiwa na kutopenda kuambiwa ukweli, huu ni ugonjwa sugu ambao katika miaka 55 ya uhai wa taifa hili, umekuwa ukitusumbua sana. Tunapenda kuyasikia yale mazuri tu, hatupendi kabisa kupewa challenges, that is why we are still so poor. Hao wakimbizi wa Rwanda na hata wale wa Burundi wamezagaa sana kule Ngara. Actually kambi ya wakimbizi ya mwanzo kabisa ambayo iliwahifadhi wakimbizi wa mwaka 1994 ilitengenezwa kama kilometa moja kutoka katika shamba la Baba yangu,so ninapoongea kuhusu hawa jamaa wa Rwanda na Burundi ninaongea kupitia uzoefu na siongei nadharia. Movement ya warundi imetutesa sana kule Ngara, unakuta ukarimu wa kitanzania unaifanya familia moja inamchukua mrundi mmoja na kumhifadhi, analima shamba kwa miezi mitatu halafu shukrani yake ni kumfanya unyama yule aliyemkaribisha. Ninapowaongelea warundi na wanyarwanda ninaongea mambo ambayo ninayaelewa vizuri sana.
 
Philipo Bukililo kunakitu ikuweza balansi. Kambi za benako na ngara zilikuwa na wahutu pekee. Na kwa Sasa Rwanda inaongozwa na watusi. Tabia za wanyarwanda Wa kitusi nitofauti na wahutu. Nakipa hii ukimuoa mtusi juwa yakwamba watoto watakao zaliwa siyo wakwako wote wanamfanana mama. Kumbe watoto ni wamwenewachu aliye kutembelea siku flani.
 
He he he ndugu yangu umenikumbusha mbali sana (mwenewachu). Watutsi nawaelewa sana, majivuno yao nayajua sana, lakini ndio maisha ambayo tunapaswa kuyaishi. Maisha mafupi lakini matamu.
 
Mhh
 
Kwahyo m7 alichapiwa?
 
Kuna mengi ya kujifunza kutoka Rwanda
 
Vipi kuhusu mabinti wakinyarwanda. Je nao ni wakarimu kwa wageni? Na 🐱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…