Kauzuuu!!Released on bond, aliingia kwa backdoor, akakaa kwa dakika zisizofika 20 akishughulikia taratibu za bond akatokea front door akasepa.
View attachment 2728352
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauzuuu!!Released on bond, aliingia kwa backdoor, akakaa kwa dakika zisizofika 20 akishughulikia taratibu za bond akatokea front door akasepa.
View attachment 2728352
Nyerere alileta Katiba hii kulingana na mazingira ya wakati huo lakini hajazuia mabadiliko ya Katiba maana Katiba ni mali ya Wananchi na siyo mali ya Rais
Upo sahihi snSerikali na Bunge imeonekana mna nia kabisa na ili dubwasha la DP World mliendeleze bila kujali wananchi wanasemaje! basi mi nawaomba kwa dhati kabisa Mh Rais Samia Suluhu uondoe kinga ya kutoshtakiwa kuanzia kwako mpaka kwa wasaidizi wako na spika wa bunge na jaji mkuu wote wawajibike ata kama walishatoka madaraani kwa makosa yenu ambayo mlisababisha Taifa eidha kupata hasara au kupolwa chochote.
ilo tu.
Hakuna kitu kama hicho ni ujinga kumuona Rais ni kama MUNGUmazingira gani ya wakati huo yanayotaka rais awe juu ya kila kitu?, awe kama mungu??
Wameshaiba sn aseeGood idea
Lakini hawawezi kuthubutu.
Kwani unafikiri hawajui ?!. Wanajua sana
Wewe ndio unayemlaumu babu yako kwa sura yako mbaya sababu hakumchagua bibi mzuri zaidi...
Kwahio na hizo mali ambazo hawakuzifuja then wewe leo unazikuta na kuzifanyia udalali umewakumbuka kwa kiasi gani ?
Hakuna kitu kama hicho ni ujinga kumuona Rais ni kama MUNGU
Kwani Nyerere amewakataza msiandike katiba nyingine?. Mnamlaumu mtu aliyestaafu miaka 33 iliyopita na hayupo duniani. Mbona dhahabu mnachimba na kubinfsisha mashirika ya umma na hamlalamiki?Then mnaambiwa mumkumbuke nyerere. Kwa katiba hii ya kipumbavu ??
Mzee aliharibu sana nchi hii , hastahili hata kukumbukwa.
Ujumbe unafika, TEC walitoa maoni kinga zitoleweutabisha kwa maneno lakini sio kwa vitendo (which actually speak louder).
kwa sababu ya katiba ya nyerere , rais wa tanzania hapingwi, hakosolewi, hakosei, ndio mahakama, ndio bunge, ndio kila kitu.
SureKwani Nyerere amewakataza msiandike katiba nyingine?. Mnamlaumu mtu aliyestaafu miaka 33 iliyopita na hayupo duniani. Mbona dhahabu mnachimba na kubinfsisha mashirika ya umma na hamlalamiki?
Kwani Nyerere amewakataza msiandike katiba nyingine?. Mnamlaumu mtu aliyestaafu miaka 33 iliyopita na hayupo duniani. Mbona dhahabu mnachimba na kubinfsisha mashirika ya umma na hamlalamiki?
Ujumbe unafika, TEC walitoa maoni kinga zitolewe
Ni mchakato, unajua nyie F6 wa May 2023 mnachukulia mambo kirahisi rahisi tukwa nini hazitolewi sasa??