The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
View: https://youtu.be/-NdDsArLVlU?si=eH35yrxDVCmdL3QM
➡️Huyu mzee anayesemekana kuwa amefukuzwa uanachama CCM, ni wazi kuwa yuko so determined kuhakikisha kuwa mchakato wa kumpitisha Bi Samia Suluhu Hassan na Dr Emmanuel Nchimbi kuwa wagombea urais huko CCM unarudiwa kwa kufuata taratibu na katiba ya CCM..
➡️ Kuna kila dalili kuwa yeye katangulizwa tu mbele Ili ashitue mitambo na kuona mwitikio wa wavunja kanuni na katiba. Lakini nyuma yake, wapi vigogo wa CCM na serikali yao wengi na wakubwa wakisubiri the right time to strike...
YAJAYO CCM YATAWAUMIZA WENGI NA KUWA NJIA YA KUKIONDOA CHAMA HIKI KWENYE RAMANI YA TAIFA LA TANGANYIKA...