Hajui katiba ya CCM huyo
Mkutano mkuu ndio mkuubwa kimaamuzi kuliko kamati kuu na halmashauri kuu.Mkutano mkuu una uwezo hata wa kuvunja kamati kuu na halmashauri kuu yote na waweza hata kataa agenda zote za kamati kuu na halmashauri kuu wakaja na ya kwao mpya
Huyo Malisa hajui nguvu ya mkutano mkuu huyo
Mkutano uliamua kuja na agenda hiyo haikuwemo keenye agenda lakini kwa nguvu waliyonayo kikatiba ikaibuliwa na kupitishwa na wajumbe wote wa mkutano mkuu
Yeye Malisa kufukuzwa uanachama ni sahihi sababu anapinga kitu kilichopitishwa na kikso cha juu kabisa cha chama ambacho ni mkutano mkuu.Kile kilichofanywa na mkutano mkuu hakuna cha kamati kuu wala halmashauri kuu wenye ubavu wa kupinga sembuse yeye Malisa