Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kupata malighafi kwa Tz ni gharama kuliko kuagiza kutoka nje, hata vile vya wachina kule mkuranga malighafi wanaagiza china.Kuruhusu ule ujenzi maana yake tumeruhusu Tanzania kuwa dampo la bidhaa za China.
Wachinà walipaswa anzisha viwanda ili kukabiriana na upungufu wa ajira.
View attachment 3086463Itachuana na Mlimani City kwa karibu
Kwani eneo hili la Urafiki hapo Ubungo litakuwa na tofauti gani na maeneo mengine kama hayo ambayo yanamilikiwa na Raia wa China yaliyopo kwenye nchi zingine mbalimbali hapa duniani?? Kwenye nchi kadhaa ambazo nilizowahi kuzuru hapa duniani nimewahi kuyaona maeneo ya biashara ya namna hiyo ambayo wenyewe wa-China wameyabatiza na kuyaita kwa Jina la 'China Town' au 'China City,' maeneo ya namna hiyo yapo katikà nchi mbali mbali.View attachment 3086475Mwezi Octoba soko litaanzaView attachment 3086475
Tusipuuze saana sababu inategemeana na ni nini serikali imekusudia. Iwapo bidhaa muhimu za China zitapatikana hapo kwa bei nafuu basi Kariakoo inaweza kuathirika sababu wateja wote wa mikoani na nchi jirani watakuwa na options.Si kwel hata kidogo. Ile itakua kama mliman city tu kwa ajil ya aina flan ya watu na kkoo itabak kkoo kwaajil yetu watanganyika na raia wa visiwani pamoja na nchi jirani
Sio bidhaa tuu bali bidhaa za kiwango cha chini kabisa, mchina hana huruma kwenye pesaKuruhusu ule ujenzi maana yake tumeruhusu Tanzania kuwa dampo la bidhaa za China.
Wachinà walipaswa anzisha viwanda ili kukabiriana na upungufu wa ajira.
Kariakoo inaenda kufa kwa sababu ya ujanja sana , wachina wanaagiza moja kwa moja na mizigo yao ndani ya bongo ni nafuu kwa wauza wa mikoani .Labda wawe na bandari yao wenyewe na TRA yao wenyewe ndo wataweza kuiua Kariakoo.
Mzee mchina akileta nyembe , akauza kwa Bei nafuuu , mimi nimenunua napeleka dukani narudi kko kufanya niniHao mpaka watengeneze wateja kama waliopo kariakoo itawachukua muda.
Namna watavyofanya na namna mfumo wa kariakoo ulivyo ni vitu viwili tofauti kabisa.
Kariakoo sasa hivi hao unaowasifia hapa hawaagizi tena mizigo kwa container zao wenyewe kama zamani,wanaagiza kupitia kwa makuli wao kama wafanyabiashara ndogo ndogo (hapa sijui kama nitaeleweka)Wan
Meona wafanya biashara wa kariakoo mnawasikiliza sana Chadema.
Sasa wanashusha Mchina jikoni nyumbani mtakoma.
Nina marafiki wenye maduka kariakoo, ninajua namna wanavyofanya biashara zao na tumeshajadili sana huu mradi kwa kina.Mzee mchina akileta nyembe , akauza kwa Bei nafuuu , mimi nimenunua napeleka dukani narudi kko kufanya nini
Hata maduka yake yatajiri watanzania, flow ya wazambia , wacongo, Malawi, Burundi itakuwa kubwa sana so ajira zimo humo, mfano mimi nikichukua order za kubeba mzigo wa duka naupeleka nje huko au mikoani , huoni kama gari zangu zitakuwa zimepata kaziKuruhusu ule ujenzi maana yake tumeruhusu Tanzania kuwa dampo la bidhaa za China.
Wachinà walipaswa anzisha viwanda ili kukabiriana na upungufu wa ajira.
Wakati mnajadili, mlihitimisha ni nini kitachosababisha wateja wa Kariakoo wasiende Ubungo kwa bidhaa ambazo zinapatikana Ubungo na Kariakoo?Nina marafiki wenye maduka kariakoo, ninajua namna wanavyofanya biashara zao na tumeshajadili sana huu mradi kwa kina.
Hivyo naelewa ninachomaanisha hapa.
Wenye huo mradi wenyewe wanawategmea wafanyabiashara wa kariakoo wahamie hapo, na walikua wanawafuata kuwashawishi hivyo sio jambo rahisi kama unavyodhania wewe.
Ni kweli italeta changamoto ila sio kwa haraka hivyo na kwa kiasi cha kuimaliza kabisa Kariakoo.Wakati mnajadili, mlihitimisha ni nini kitachosababisha wateja wa Kariakoo wasiende Ubungo kwa bidhaa ambazo zinapatikana Ubungo na Kariakoo?
Hapo sawa boss, Haiwezi kuimaliza kariakoo ila mshindani ni mshindani tu hata akiwa dhaifu.Ni kweli italeta changamoto ila sio kwa haraka hivyo na kwa kiasi cha kuimaliza kabisa Kariakoo.