Ongeza faida kwenye biashara yako kwa kumkwepa middle man

Nikupongeze kwa kuandika mambo mengi lakini ujaiumiza akili yako sana kuwaza nje ya bosi naona kesho unaweza ukaja hapa na uzi unaosema Walaji pia waache kununua vitu wadukani waende kwa manufacture
Fungua thread utueleze haya kwa kina mkuu,ukimaliza uni tag.
 
Nikupongeze kwa kuandika mambo mengi lakini ujaiumiza akili yako sana kuwaza nje ya bosi naona kesho unaweza ukaja hapa na uzi unaosema Walaji pia waache kununua vitu wadukani waende kwa manufacture
Anayefanikiwa kuvunja hiyo chain uliyosema ndie anayefanikiwa haraka, tafuta chein yako
Mfanyabiashara aliyekomaa hafungwi na procedures za darasani.


Stop being NORMAL mkuu
 
Tuungane mkuu ukiwa tyr mi mwenywe ndo ndoto zangu.
 
Naomba kujuzwa chimbo LA vitu vya urembo wa kike, kama vile hereni na mikufu, kwa bei rafiki zaidi, ukiachana na pale mtaa wa mchikichini, naomba kujua chimbo lingine kwenye bei nafuu zaidi
 
Haka kaujumbe hua natamani nikafanyie lamination 😋
 
Umejibu kisomi mzee, heko

Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…