jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Nadhalia tu..haina ukweli wowote.Lkn ndio vtamu balaaa.... Mkuu achana na kuku wa kisasa ( wakishua)......vina barid hatareee
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhalia tu..haina ukweli wowote.Lkn ndio vtamu balaaa.... Mkuu achana na kuku wa kisasa ( wakishua)......vina barid hatareee
Ww unakutana na wale wadada wembamba wa kiswahil....sio sisi wa geti kali1. Visirani sana na hii inatokana na kutokua na mzigo ( kufungasha)
2. Unaweza ukawatumia nauli alafu kuja magetoni changamoto, Ni wajanja sana
3. Wanapenda zawadi za kitoto kama Pizza, Chocolate, Ice cream, Burger
4. Wakati wa kumpelekea Moto achelewi kusema eti anaumia
5. Wanapenda sana kutumiwa na yakutolea
6. Simu zao kubwa ni tecno Infinix, uwezi kuta Pisi nyembaba inatumia iphone
7. Kila sherehe anataka avae kijora kipya ole wako sasa usimnunilie
8. Ukimuita peke yake Restaurant au Bar yeye anakuja na shoga zake uku wamevaa vijaro utazania kuna mtu anaenda kuchambwa
NB😱ngezea Sifa za hizi pisi nyembamba kwenye mapenzi
Aya sasa Pisi nyembaba nasubilia mapovu yenu [emoji23]View attachment 2350133
Kura inapigwa vp mkuuHabari yako ndugu,
Pongezi kwa nakala nzuri yenye mawaidha na tija kwa jamii. Hakiki kila mmoja ni kioo cha jamii yake.
Ndugu, nikiamini katika uchakataji wako wa mambo na uwezo wako wa fikra na ubunifu, naomba ukipendezwa, nipate kura, mawazo au mapendekezo yako juu ya nakala ihusuyo:-
SoC02 - Yafanyike haya kuikomboa NHIF
Chanzo: Picha na JamiiForums Yafanyike haya kuikomboa NHIF Katika kutekeleza dhima na dira ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika kutimiza majukumu ya utoaji wa huduma ya Afya kwa kuzingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo (2025), Sera ya Afya ya mwaka 2007, Mpango Mkakati wa Tano wa Sekta...www.jamiiforums.com
Ahsante!!
Nenda ushuani huko utapata wa kushatoMnawapataje hao mkuu
SawA mkuuAcha nitafute pesa
Kama una hiyo tabia acha to yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inasemekanaga hvyo ila mm siajwai kukutana nalo [emoji23]Mkuu wana bonge la canal yan mpka unashangaa linatokea wapi wakati wembamba kuanzia chini mpaka juu
🤣🤣🤣SawaKama una hiyo tabia acha to yeye