Ongezeko la ada kwa mafunzo ya ualimu ngazi ya astashahada kwa mwaka 2012/2013

Makelelejr

New Member
Joined
Sep 7, 2011
Posts
3
Reaction score
0
Habari za saa hizi mabibi na mabwana!
Kwa wadau watoto wa wakulima, eti kuna ongezeko la ada la vyuo hv kutoka 75000/= mpaka 100000/=? Kama lipo sio mbaya je linawahusu wanaoanza au wote wanaoanza na walio mwaka wa pili? Wadau naomba msaada kwa hili!
 
Habari za saa hizi mabibi na mabwana!
Kwa wadau watoto wa wakulima, eti kuna ongezeko la ada la vyuo hv kutoka 75000/= mpaka 100000/=? Kama lipo sio mbaya je linawahusu wanaoanza au wote wanaoanza na walio mwaka wa pili? Wadau naomba msaada kwa hili!


Mkuu hata mimi mtoto wa ndugu yangu ameanza kuniambia inabidi nimuongezee ada! wenye taarifa watusaidie au kama mkuu umepata nisaidie taarifa hiyo muhimu. Asante!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…