Habari za saa hizi mabibi na mabwana!
Kwa wadau watoto wa wakulima, eti kuna ongezeko la ada la vyuo hv kutoka 75000/= mpaka 100000/=? Kama lipo sio mbaya je linawahusu wanaoanza au wote wanaoanza na walio mwaka wa pili? Wadau naomba msaada kwa hili!