Makelelejr
New Member
- Sep 7, 2011
- 3
- 0
Habari za saa hizi mabibi na mabwana!
Kwa wadau watoto wa wakulima, eti kuna ongezeko la ada la vyuo hv kutoka 75000/= mpaka 100000/=? Kama lipo sio mbaya je linawahusu wanaoanza au wote wanaoanza na walio mwaka wa pili? Wadau naomba msaada kwa hili!
Kwa wadau watoto wa wakulima, eti kuna ongezeko la ada la vyuo hv kutoka 75000/= mpaka 100000/=? Kama lipo sio mbaya je linawahusu wanaoanza au wote wanaoanza na walio mwaka wa pili? Wadau naomba msaada kwa hili!