Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Habari wana-JF,
Kumekuwa na uwepo mkumbwa wa atheist duniani, sasa unahisi nini kifanyike kuokoa ndugu zetu?
Na wapi tunapofeli? Na kama tukishindwa kukemea basi tuwachukie kwa moyo wote.
Tujitahidi kusaidia atheist wanapotea vibaya mno.
Yani kile kizazi cha kukakaririshwa ndio kinaishia hivyo! Miaka 50 ijayo hakutakuwa na kanisa wala msikiti vyote vitakuwa vishakufa kifo cha kawaida wakati unasubiri mwisho wa dunia ulioambiwa! Kizazi cha sasa hakipokei haya majambo ya kwamba dunia iliumbwa wakati wanaona kuna sayari mabilioni huko kwenye universe! Mapokeo ya wakoloni ya kutawalia dunia