Ongezeko la bei ya mafuta: Je, Bunge lina meno ya kuiwajibisha EWURA?

Ongezeko la bei ya mafuta: Je, Bunge lina meno ya kuiwajibisha EWURA?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.

Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.

Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?

Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?

CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
 
Maana yake ni kwamba ikulu imegeuka pango la wanyang'anyi
 
Huo mtandao wa kulinyonya taifa umesukwa vema kimkakati na hivyo tunasubiri Mungu tu aendeleze wimbi kama alivyoruhusu wimbi la korona kusambaa vivyo hivyo wimbi la kutetea wanyonge litufikie na sisi.La sivyo tutakuwa watumwa wa familia chache huku tukifilisiwa hata kidogo tulichonacho.
 
Je mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mumewe kuwa jaji mkuu?
Take note: hii ya mume kumteua mumewe kwa Tanzania hairuhusiwi kwasababu hatuna ndoa za jinsia moja!.

Ni ama Mke akiwa rais ama mume akiwa rais, anaweza kabisa kumteua mumewe/mkewe kuwa CJ kama huyo mume/Mke ana sifa na vigezo.

Kitu kisichoruhusiwa ni kufanya upendeleo wa kidini, kabila, Kanda au jinsia!
.
P
 
Huyu ndiye Mme wa Spika Tulia Ackson anasema tusiwe na hofu mafuta yapo ambaye ndiye mkurugenzi wa Ewura.

Wewe unadhani Tulia ataruhusu hoja ya mafuta iende Bungeni na Mume wake Spika ajadiliwe?

FB_IMG_1693963258290.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mumewe kuwa Jaji Mkuu?" Hii sentensi imekaa kiSodomaGomora flani hivi.

Japo hujaniTag lakini imenifikirisha sana. Yawezekana tumefikia huko au ni makosa ya kiuandishi???

Sitaki kuamini kwamba Subwoofer amemuoa DG wa EWURA.
 
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.

Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.

Je Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?

Je mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mumewe kuwa jaji mkuu?

CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
We we we , tena na uteme mate chini , unajua Mkurugenzi wa Ewura ni nani na Spika ni Nani.
 
Sasa bunge linatakiwa kuiwajibisha vipi EWURA.

EWURA hawajiamikii tu na kuamua bei ya mafuta; wana-formula yao wanayotumia inayozingatia market variable kwenye kukotoa bei za soko. You must be very dumb, kama mpaka leo uelewi jinsi wanavyoamua bei.

EWURA hawapo hapo kwa sababu ya maslahi ya wafanyabiashara; wapo kwa sababu ya kumlinda mlaji.

Uchumi ni ‘social science’ kuna logics za kibiashara, na human behaviour kwenye maaamuzi ya wafanyabiashara based on their market knowledge.

Hakuna mfanyabiashara anaeweza fanya ‘hoarding ya bidhaa’ for profiteering purposes where supply outstrips demand.

Hata kama kweli kuna watu wana ficha mafuta (kitu ambacho sioni faida yake) even if information asymmetry is the factor nonetheless hali halisi inabaki kuwa uwepo mdogo wa mafuta katika maghala, higher purchase prices ya waagizaji kwenye kununua kutokana na shilling kuendelea kushuka thamani dhidi ya dollar na ukosefu wa dollar sokoni; unachangia kwa kiasi kikubwa.

Hayo matusi kwa EWURA wahusika are taking one for team government; but the situation is beyond their control. Wao wanapokea matusi kwasababu ndio wenye kutoa habari mbaya kwenye jamii.

Mengine ni uwezo mdogo tu wa watanzania kwenye kuelewa mambo.
 
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.

Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.

Je Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?

Je mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mumewe kuwa jaji mkuu?

CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
Bunge hili la CCM 😁
 
Kwa hali ilivyo sana Ewura inapangiwa bei na wafanyabiashara.

Rais mstaafu mwenye influence ni mfanyabiashara wa mafuta, anavituo vya rangi ya blue kila baada ya umbali mfupi unakutana na kituo chake cha mafuta
Hivi hayo mapesa yote anayapeleka wapi huyo mkwere? Anajisikiaje kutengeneza faida ya billions kwa siku kwa kuwaumiza watanzania?

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Hivi hayo mapesa yote anayapeleka wapi huyo mkwere? Anajisikiaje kutengeneza faida ya billions kwa siku kwa kuwaumiza watanzania?

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Ndio shida hilipo; mnafikiria upuuzi kwenye vichwa vyenu contrary to economic facts.

Hakuna mtu anaewajuhumu personally, shida ni poor macroeconomic policy za serikali.
 
Je Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?
Kazi kubwa ya Bunge si kutunga sheria tu, bali ni kusimama na wananchi bega kwa bega kusikia na kutetea vilio vyao kupitia kamati husika za Bunge.
Serikali inaweza kuwekwa kiti moto na kutaka maelezo ya Waziri kuhusu suala hilo na akishindwa basi Bunge pia lina uwezo wa kuunda Tume huru ya Bunge kuchunguza na kupendekeza hatua za kuchukuliwa.
Lakini kwa Bunge hili la CCM, usitegemee kitu kama hiki, ni maumivu mdogo mdogo. kila mtu apambane na hali yake, mimi uwezo wa kununua mafuta hata kama yatafika elfu kumi kwa lita ninao.
 
Sasa bunge linatakiwa kuiwajibisha vipi EWURA.

EWURA hawajiamikii tu na kuamua bei ya mafuta; wana-formula yao wanayotumia inayozingatia market variable na kwenye kukotoa bei za soko. You must be very dumb, kama mpaka leo uelewi jinsi wanavyoamua bei.

EWURA hawapo hapo kwa sababu ya maslahi ya wafanyabiashara; wapo kwa sababu ya kumlinda mlaji.

Uchumi ni ‘social science’ kuna logical za kibiashara na human behaviour kwenye maaamuzi ya wafanyabiashara based on their market knowledge.

Hakuna mfanyabiashara anaeweza fanya ‘hoarding ya bidhaa’ for profiteering purposes where supply outstrips demand.

Hata kama kweli wana ficha mafuta (kitu ambacho sioni faida yake) nonetheless hali halisi inabaki kuwa uwepo mdogo wa mafuta katika maghala, higher purchase prices ya waagizaji kwenye kununua kutokana ns shilling kuendelea kushuka thamani dhidi ya dollar na ukosefu wa dollar sokoni.

Hayo matusi kwa EWURA wahusika are taking one for team government; but the situation is beyond their control. Wao wanapokea matusi kwasababu ndio wenye kutoa habari mbaya kwenye jamii.

Mengine ni uwezo mdogo tu wa watanzania kwenye kuelewa mambo.
EWURA hawapo hapo kwa sababu ya maslahi ya wafanyabiashara; wapo kwa sababu ya kumlinda mlaji.
Una uhakika mkuu? Kwa hii serikali yenye matobo kila upande una uhakika ewura inakulinda wewe mlaji wa mwisho?
 
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.

Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.

Je Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?

Je mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mumewe kuwa jaji mkuu?

CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel


Unaiwajibishaje ewura kwa Matokeo ya Kikanuni?
 
Back
Top Bottom