Biashara ya bima ni huduma.....na makampuni ya bima yamekua yakipata hasara kubwa kutokana na bima za magari.bei ndogo za bima ya magari kumeyafanya makampuni hayo kutokuwa na uwezo wa kulipa madeni kwa wakati hivyo kusababisha usumbufu kwa wateja........hivyo ili kuleta ufanisi na huduma bora ni lazima kwa makampuni haya kupandisha bei ili uwezo wa kulipa madai uwe wa haraka na uhakika.......ijulikane kuwa bima sio anasa au sio kama watu wanafikiria ni kama aina ya kodi..bali bima ni huduma ya kujikinga na majanga...na ni promise ya kampuni hizo kukulipa unapo pata na majaribio ya ajali.......hebu tuchukulie mfano wa hio bei ya mtoa mada ya zamani ya third party ya shilingi 60,000/= chukulia mfano hii gari X ifanye ajali ..na kusababisha uharibifu wa gari Z ..Tuseme gari Z imeharibika yote haitengenezeki....na mfano hii gari ni Noah...thamani yake ni Shs 14,000,000........na mtu mmoja awe amefariki....bima iwe imeamua kumlipa na hiyi fatal accident kwa shs 6,000,000 .....total ya ajali moja tu inakua ni shs 20,000,000...!!!!! sasa wewe jumlisha ...shs 60,000 unazolipa kwa gari yako...na kusababisha hasara ya shs 20,000,000...jee ni gari ngapi zinatakiwa kulipa hio shs 60,000 hadi kufika shs 20,000,000....? bila ya shaka kampuni ya bima watahitaji kufanya bima za magari kama ifuatavo...20,000,000/60,000 =333.....hapa utaona malipo ya gari 333...ndio yatalipa ajali moja tu ya shs 20,000,000......gari ngapi ? 333 !!! jeee kwa ajali ya scania bus inayo uwa kama watu 30 kwa mpigo ? na thamani ya bus moja ni shs 200,000,000 ? fikiria inahataji pooling ya magati mangapi yawe insured ili kulipa dai moja la shs 200,000,000? .....ajali ngapi zinatokea leo...boda boda ngapi zinagongwa......wangapi wanakufa hawa madereva wa boda boda?.......tutambue bila ya huduma ya bima basi shughuli za uchumi zitakufa na kupata msuko suko mkubwa sana.....hivyo ....upandaji huu ni wa lazima......
ahsante...mwaka 2012 ajali 24,000 zilitokea.vifo vya ajali 3,900 na majeruhi wa ajali 21,000...
ajali 24,000 x 6,000,000 =144,000,000,000 ...vifo 2900 x 5,000,000 =14,000,000,000.......majeruhi..21,000 x 3,000,000 =63,000,000,000.....weka na magari 1000 yaliobiwa ambayo chukulia 500 ndio yalikua na comprehensive....malipo yote yatakua x 10,000,000 =5,000,000,000 hapa nimechukulia average tu lakini inazidi.....na jumla ya malipo yatakua shsoa 226,000,000,000. na hapa hujatoa gharama za brokers ma assessor.....mishahara sasa tuangalie bima za magari kwa mwaka 2011 ziliingiza kiasi gani ? kwa mwaka wa 2011 bima za magari ziliingiza only 96,000,000,000 sasa kama porojo.......ndio mmezoea....na internet za bure za tigo
mkuu sababu kubwa ni hasara na kupungua uwezo wa kulipa kutokana na madai kuwa mengi na makubwa...Mkuu kwanza ungejitambulisha tujue tunaongea na nnani, kwa maana unaongea kama unahusika moja kwa moja. Btw, BIMA ni biashara kama biashara zingine, nina imani kabla mtu au kampuni haijaamua kuwekeza katika biashara ya BIMA wanafanya ukokotozi na research za kutosha kuthibitisha kuwa biashara itawalipa. Na kama kiwango cha elf60 kilikuwa kinawalipa, nini kimetokea na kupelekea ongezeko la karibia asilimia mia4? Tuanzie hapo mkuu, hizo porojo zingine zitajadilika kwa ufasaha zaidi.
Mkuu hapo kwa red unajua maana yake?
kwa TZ bima hai-qualify kuwa kwenye category hiyo kwa sababu ni product inayolazimishwa na sheria kwamba kila kwenye gari akate bima! hakuna option nyingine kwa mtumiaji
Ongezeko la gharama za Bima kwa Third party halikwepeki. Nafikiri sasa wengi wataenda kwenye Comprehensive.
Ni kubadili mfumo tu watu watabadilika, unatembelea gari ya milioni 40 lakini bima ya laki moja...kisa? unakwepa Comprehensive wakati kuna risk kubwa za ajali, moto na wizi (hasa wa vifaa vya magari).
landa muhimu kwanza ufahamu nini maana ya insurance then nitakusaidia..kuwa insurance sio kodi..Huu ni wizi kama wizi mwingine tu,mimi nilikuwa na bima ya maisha na nika withdraw mwaka 1999,hadi leo hawajanilipa hela yangu hadi shirika la bima limekufa,watu wanakata bima sababu ni sheria lakini tofauti na comprhensive ambayo unaweza kufidiwa gari in case of an accident bima nyingine ni wizi mtupu.Ni sawa sawa na TRA sasa hivi ukienda kulipia road licence wanakukata hela ya fire extinguisher lakini hakuna fire extinguisher wanayokupa wala wanayo service,ifikia wakati wizi wa aina hii wabunge wetu waupigie kelele.Badala ya kukusanya kodi kwenye migodi tunang'ania kumnyonya maskini kila kona.
huria ...kwa maana ya kwamba watu binafsi wameruhusiwa kufanya hio bishara..na serikali inatunga sheria kufatwa lakini wao wapo huru....katika mipango yao...hata NIC haingiliwi na serikali katika kupanga bei zake...
Acha kujustify hizi mambo wewe bima wanakuambia wao watalipa 60,000..mim wananizungusha tangu mwezi wa 4..wanapiga tu danadana ooh cjui alie gonga gari yako itabidi achangie..etc etc..huwezi kujustify..policy ya bima ni kutolipa ndo mana wanaweka masharti magumu sijui report within 24 hrs..etc etc..!!!Biashara ya bima ni huduma.....na makampuni ya bima yamekua yakipata hasara kubwa kutokana na bima za magari.bei ndogo za bima ya magari kumeyafanya makampuni hayo kutokuwa na uwezo wa kulipa madeni kwa wakati hivyo kusababisha usumbufu kwa wateja........hivyo ili kuleta ufanisi na huduma bora ni lazima kwa makampuni haya kupandisha bei ili uwezo wa kulipa madai uwe wa haraka na uhakika.......ijulikane kuwa bima sio anasa au sio kama watu wanafikiria ni kama aina ya kodi..bali bima ni huduma ya kujikinga na majanga...na ni promise ya kampuni hizo kukulipa unapo pata na majaribio ya ajali.......hebu tuchukulie mfano wa hio bei ya mtoa mada ya zamani ya third party ya shilingi 60,000/= chukulia mfano hii gari X ifanye ajali ..na kusababisha uharibifu wa gari Z ..Tuseme gari Z imeharibika yote haitengenezeki....na mfano hii gari ni Noah...thamani yake ni Shs 14,000,000........na mtu mmoja awe amefariki....bima iwe imeamua kumlipa na hiyi fatal accident kwa shs 6,000,000 .....total ya ajali moja tu inakua ni shs 20,000,000...!!!!! sasa wewe jumlisha ...shs 60,000 unazolipa kwa gari yako...na kusababisha hasara ya shs 20,000,000...jee ni gari ngapi zinatakiwa kulipa hio shs 60,000 hadi kufika shs 20,000,000....? bila ya shaka kampuni ya bima watahitaji kufanya bima za magari kama ifuatavo...20,000,000/60,000 =333.....hapa utaona malipo ya gari 333...ndio yatalipa ajali moja tu ya shs 20,000,000......gari ngapi ? 333 !!! jeee kwa ajali ya scania bus inayo uwa kama watu 30 kwa mpigo ? na thamani ya bus moja ni shs 200,000,000 ? fikiria inahataji pooling ya magati mangapi yawe insured ili kulipa dai moja la shs 200,000,000? .....ajali ngapi zinatokea leo...boda boda ngapi zinagongwa......wangapi wanakufa hawa madereva wa boda boda?.......tutambue bila ya huduma ya bima basi shughuli za uchumi zitakufa na kupata msuko suko mkubwa sana.....hivyo ....upandaji huu ni wa lazima......
Sasa kama hizo kampuni kadhaa ulizozitaja ziko ICU sasa si waungane watoe kampuni moja kubwa..point yako ya kusema huwezi kuruhusu kampuni 15 zifunge biashara..kwa sababu ya hali mbaya ya kiuchumi..wewe unafikiri concept ya merging of companies inakuaje..tatizo kila mtu anafikiri anaweza kuanzisha kampuni ya bima wakati hawataki kuungana..kama huna hela za kutosha ungana na wengine..kama hutaki subiri kampuni hiyo ife kibudu..Via..merging of companies..kama walivyo fanya wazungu kwenye monopoly capitalism..unafikiri kitu kama AIG..ni kidogo au ni kaji kampuni tu kamtu mmoja eenhh....over..sio mnaleta porojo za kujustify..uongeze mzigo kwa watu ili uweze kusurvive..nigga..whaaaaaa...!!!!nyote mmejitahidi kuchambua...lakini lazima mujue...secta ya bima ni huria
pili ongezeko la bei lolote sio kwa ajili ya faida tu
mujue bei za bima hazipandishwi tu kama bei za embe sokoni
bei za bima zinapangwa kwa kuweka vitu vinaitwa Risk premium,administration cost na profit margin ambayo mashirika yote ya bima wanafata international standard ya 5% kama faida....na hii faida huwa haijulikani ina tegemea claims zinazolipwa
hapa mnachamganya siasa na biashara na huduma....someni taarifa ya mwaka kuhusu bima...makampuni 11 yapo ICU yaani yamefilisika mojarra limenunuliwa tayari na kampung ya KEnya
yaliobaki yamepata has aura lakini yaani service kwa vile shareholders wameengeza capital. !!! Sasa hali hii ni maya kwa uchumi huwezi kuruhusu makampuni zaidi ya 15 ku fungi virago utasababisha mtikiso mkubwa wa ssecta ya fedha na uchumi
hivyo lazima haya makampuni yajiendeshe ku huduma uuchumi wewe usifiiiri gari Lakota tu Kiwanda cha madawa kilipoungua waliweza ku retain wafanya kazi wao na wamelipwa na kutengeneza Kiwanda chao
shughuli za uchumi zinaendelea msichanganye uchumi biashara na mambo ya mwagwanda na magamba tunaahitaji soko la bima lenye nguvu...kama huoni umuhumi wa bima basi wachia..lakini wapo wataoona umuhimu wa secka hii kuwa imara
Biashara ya bima ni huduma.....na makampuni ya bima yamekua yakipata hasara kubwa kutokana na bima za magari.bei ndogo za bima ya magari kumeyafanya makampuni hayo kutokuwa na uwezo wa kulipa madeni kwa wakati hivyo kusababisha usumbufu kwa wateja........hivyo ili kuleta ufanisi na huduma bora ni lazima kwa makampuni haya kupandisha bei ili uwezo wa kulipa madai uwe wa haraka na uhakika.......ijulikane kuwa bima sio anasa au sio kama watu wanafikiria ni kama aina ya kodi..bali bima ni huduma ya kujikinga na majanga...na ni promise ya kampuni hizo kukulipa unapo pata na majaribio ya ajali.......hebu tuchukulie mfano wa hio bei ya mtoa mada ya zamani ya third party ya shilingi 60,000/= chukulia mfano hii gari X ifanye ajali ..na kusababisha uharibifu wa gari Z ..Tuseme gari Z imeharibika yote haitengenezeki....na mfano hii gari ni Noah...thamani yake ni Shs 14,000,000........na mtu mmoja awe amefariki....bima iwe imeamua kumlipa na hiyi fatal accident kwa shs 6,000,000 .....total ya ajali moja tu inakua ni shs 20,000,000...!!!!! sasa wewe jumlisha ...shs 60,000 unazolipa kwa gari yako...na kusababisha hasara ya shs 20,000,000...jee ni gari ngapi zinatakiwa kulipa hio shs 60,000 hadi kufika shs 20,000,000....? bila ya shaka kampuni ya bima watahitaji kufanya bima za magari kama ifuatavo...20,000,000/60,000 =333.....hapa utaona malipo ya gari 333...ndio yatalipa ajali moja tu ya shs 20,000,000......gari ngapi ? 333 !!! jeee kwa ajali ya scania bus inayo uwa kama watu 30 kwa mpigo ? na thamani ya bus moja ni shs 200,000,000 ? fikiria inahataji pooling ya magati mangapi yawe insured ili kulipa dai moja la shs 200,000,000? .....ajali ngapi zinatokea leo...boda boda ngapi zinagongwa......wangapi wanakufa hawa madereva wa boda boda?.......tutambue bila ya huduma ya bima basi shughuli za uchumi zitakufa na kupata msuko suko mkubwa sana.....hivyo ....upandaji huu ni wa lazima......
Sasa kama hizo kampuni kadhaa ulizozitaja ziko ICU sasa si waungane watoe kampuni moja kubwa..point yako ya kusema huwezi kuruhusu kampuni 15 zifunge biashara..kwa sababu ya hali mbaya ya kiuchumi..wewe unafikiri concept ya merging of companies inakuaje..tatizo kila mtu anafikiri anaweza kuanzisha kampuni ya bima wakati hawataki kuungana..kama huna hela za kutosha ungana na wengine..kama hutaki subiri kampuni hiyo ife kibudu..Via..merging of companies..kama walivyo fanya wazungu kwenye monopoly capitalism..unafikiri kitu kama AIG..ni kidogo au ni kaji kampuni tu kamtu mmoja eenhh....over..sio mnaleta porojo za kujustify..uongeze mzigo kwa watu ili uweze kusurvive..nigga..whaaaaaa...!!!!
na mfano wangu nazungumzia third party insurance ndio maana nikasena shs 60,000 kama premium na loss ya 10,000,000 jee hio 60,000 ilipwe na magari mangapi ndio ilipe claim moja tu!!!!Maelezo yako yanaweza yasiwe sahihi; muanzisha mada anazungumzia bima ile ya lazima "Third party" na si "Comprehensive" sasa naomba uniambie hayo madai yanalipwa na "Third party insurance premium" na yapi zaidi ya mishahara ya watu? crabat
Ongezeko la gharama za Bima kwa Third party halikwepeki. Nafikiri sasa wengi wataenda kwenye Comprehensive.
Ni kubadili mfumo tu watu watabadilika, unatembelea gari ya milioni 40 lakini bima ya laki moja...kisa? unakwepa Comprehensive wakati kuna risk kubwa za ajali, moto na wizi (hasa wa vifaa vya magari).