ahsante...mwaka 2012 ajali 24,000 zilitokea.vifo vya ajali 3,900 na majeruhi wa ajali 21,000...
ajali 24,000 x 6,000,000 =144,000,000,000 ...vifo 2900 x 5,000,000 =14,000,000,000.......majeruhi..21,000 x 3,000,000 =63,000,000,000.....weka na magari 1000 yaliobiwa ambayo chukulia 500 ndio yalikua na comprehensive....malipo yote yatakua x 10,000,000 =5,000,000,000 hapa nimechukulia average tu lakini inazidi.....na jumla ya malipo yatakua shsoa 226,000,000,000. na hapa hujatoa gharama za brokers ma assessor.....mishahara sasa tuangalie bima za magari kwa mwaka 2011 ziliingiza kiasi gani ? kwa mwaka wa 2011 bima za magari ziliingiza only 96,000,000,000 sasa kama porojo.......ndio mmezoea....na internet za bure za tigo