Nafikiri hiki kitakuwa ni kitu kipwa kwa wengi ambao bado hawafika bodi hiyo kujua "LOAN STATUS" ya mikopo yao.Kuna kitu kinaitwa "PENALTY" na kingine kinaitwa "VALUE RETANTION FEE".
Kwa wale waliokwisha maliza,wanaweza kujikuta kuna deni limebakia liitwalo "VALUE RETANTION FEE".
Hakika sijajua ni kwa nini hiki kitu kimejitokeza wakati huu,kwani mkataba wa awali haukuwa na hiki kitu.Kwangu mimi ilikuwa nimalize deni mwezi wa tano mwaka huu,lakini kutokana na mabadiliko hayo nimejikuta naongezewa miaka miwili tena ya kumalizia deni hilo.
Mimi niwatake tu wale wote wanaoendelea kulipa na ambao wanatarajia kumaliza hivi karibuni wakafuatilie swala hili kwani kimsingi ni kama ongezeko la deni ambalo ni WIZI wa mchana kabisaaaaaa na uonevu mkubwa wa SERIKALI kupitia bodi ya mikopo.
Kwa wale waliokwisha maliza,wanaweza kujikuta kuna deni limebakia liitwalo "VALUE RETANTION FEE".
Hakika sijajua ni kwa nini hiki kitu kimejitokeza wakati huu,kwani mkataba wa awali haukuwa na hiki kitu.Kwangu mimi ilikuwa nimalize deni mwezi wa tano mwaka huu,lakini kutokana na mabadiliko hayo nimejikuta naongezewa miaka miwili tena ya kumalizia deni hilo.
Mimi niwatake tu wale wote wanaoendelea kulipa na ambao wanatarajia kumaliza hivi karibuni wakafuatilie swala hili kwani kimsingi ni kama ongezeko la deni ambalo ni WIZI wa mchana kabisaaaaaa na uonevu mkubwa wa SERIKALI kupitia bodi ya mikopo.