Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe juu yenu wakuu
Nimekuwa nikijiuliza hawa wadada new member humu jf wametoka wapi mbona zaman hawakuwepo au walikuwa hawaijui jf?
Na ni kwanini wengi wanatafuta waume yaan ndoa? Ukienda jukwaa la kutafuta wachumba utawakuta
Je hawa member ni mademu kweli au nini
Nachoka kabisa
Nawasilisha
LONDON BOY kwa sasa Niko nyampande Sengelema
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nikijiuliza hawa wadada new member humu jf wametoka wapi mbona zaman hawakuwepo au walikuwa hawaijui jf?
Na ni kwanini wengi wanatafuta waume yaan ndoa? Ukienda jukwaa la kutafuta wachumba utawakuta
Je hawa member ni mademu kweli au nini
Nachoka kabisa
Nawasilisha
LONDON BOY kwa sasa Niko nyampande Sengelema
Sent using Jamii Forums mobile app