Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Barafu inayeyuka kabisa kileleni.
Mungu atunusuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Om Kaazi, tuache wivu basi jamani,sisi mungu ametupa ziwa na sangara, wengi tu.Ni bora kabisa tuone hao wezi wataringia nini.
Kupeleka mafriji huko juuKama nchi tunaweza fanya nini kunusuru hii hali.
7% ya saruji?Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Tanzania wengi wetu kiingereza hatujui na kiswahili nacho ndio hivyo kinatupiga chenga.7% ya saruji?
Umeelewa ulichokiandika?
Raisi atangaze maombi na kufunga siku tatu kwa ajili ya kuliombea taifa..Kama nchi tunaweza fanya nini kunusuru hii hali.
Alipaswa kuandika theluji7% ya saruji?
Umeelewa ulichokiandika?
Maji ya Mungu.Kenya wanafaidi maji yetu
Itarudi kama mlima sayuni
Aisee
Tutaringia uwanja wa ndege wa chato.Ni bora kabisa tuone hao wezi wataringia nini.
Tunaweza kuiotesha barafu mkuu.Kama nchi tunaweza fanya nini kunusuru hii hali.