Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wachina wamemaliza miti huko Congo
Umoja wa Africa umekaa kimya
Tatizo sio letu tu bali linaanzia mbali na waafrika kwa njaa zetu hata tukiambiwa vichwa vya watoto ni dili najua wataleta tu itakuwa Magogo?
Umoja wa Africa umekaa kimya
Tatizo sio letu tu bali linaanzia mbali na waafrika kwa njaa zetu hata tukiambiwa vichwa vya watoto ni dili najua wataleta tu itakuwa Magogo?