Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Saruji kwa kujengea nini? Mlikuwa mnajenga madarasa juu ya mlima!Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saruji kwa kujengea nini? Mlikuwa mnajenga madarasa juu ya mlima!Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Au theluthi..!??😁😁😂Unamanisha theruji au saruji[emoji849][emoji849]
Joto linaongezeka mkuuItarudi tu
InahuzunishaKwishney[emoji25][emoji25][emoji25][emoji29][emoji29][emoji17][emoji17][emoji17]
Sio saruji Mkuu ni thelujiImebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Tupeleke basi cement huko kileleni..kwan sh ngapi?Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Hapa ni wapi mkuu... Location uliyokuwapo wakati unapiga picha. KCMC au?
Tatizo linaanzia hapa!Wachina hawa ni kuwachoma tu View attachment 2013326
Na wanaowafadhili pia
Saruji tena kiongozi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Kwani zinazozalishwa na Dangote, Twiga zote zinapelekwa wapi?Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Ushauri wa hovyo kuwahi kutokea[emoji23][emoji23][emoji23]KWISHA HABARI YETU....
unaweza kucheka kama mazur lkn ndio hivyo tena the roof of Afrika inapoteketea kwa kupoteza sifa zake, na heshima yake,
madhara tutayapata sisi wamilik wa hizi rasilimal kwa kupungua kwa watalii,
maana sifa mojawapo ya huo mlima ilikuwa kuwa na barafu ktk nchi za joto, na mlima pekee afrika, hivyo basi wagen wakishajua baazi ya sifa za huu mlima zmepotea, nani atapoteza muda wake kuja kupanda ilo limwinuko[emoji23][emoji23][emoji23]..
serkal ifanye kila liwezekanao kuokoa ama kupunguza madhara ya mabadiriko haya, iwe ni kupitia spiritual activities , ama environmenmental activities za kupunguza kasi ya mabadiriko,
spiritual activities zihusishe makuhani wa imani zote, yaan imani za jadi na imani za kigeni yaani dini za kuja ukristo&uislam
lipigwe zindiko moja la heshima na makafara ya wanyama uku wakialikwa waganga mashuhuri na wasoma nyota wote waje watutabilie why this,
pia yapigwe maombi ya nguvu wakialikwa wakina lusekelo mzee wa upako, gwajiboy, mwakasege, mwamposa, na wale wote waliojipa majina makubwa makubwa,
nazan kwa kufanya hiv tutakuwa tumethubutu kuyaokoa mazingira yetu AU NATANIA NDUGU ZANGU?(in magu's voice)
angejua mkabila na mkanda makufuli alitumia fedha za mlima kilimanjaro kupendelea chatu na kanda ya ziwa kimaendeleo angeshona domo lake kama chai jabaOm Kaazi, tuache wivu basi jamani,sisi mungu ametupa ziwa na sangara, wengi tu.
Ulishawahi kusikia kutitu kinachoitwa "mapafu ya dunia?"Kupanda miti ni njia mojawpo lakini njia nyingine na muhimu sana ni kupunguza hewa ya ukaa inayozalishwa na viwanda hasa kwenye nchi zilizoendelea kama Marekani, Ulaya, China, Japan n.k. Tatizo la hewa ya ukaa ndio linachangia kwa asilimia kubwa kutokea kwa mabadiliko ya tabia nchi hapa duniani. Bila haya mataifa tajiri yenye viwanda vikubwa na vingi kuafuta njia ya kupunguza hewa ya ukaa inayozalishwa na viwanda vyao hata kama tutapanda miti huku afrika hiyo miti na yenyewe itafikia mahali itanyauka kwa sababu ya mabadiliko ya tabia nchi.
Ni wakati mzuri wa kwenda kuvutia bangi pale juu
We Me au Ke? Kwanini unateseka mkuu?Ni bora kabisa tuone hao wezi wataringia nini.