[emoji23][emoji23][emoji23]KWISHA HABARI YETU....
unaweza kucheka kama mazur lkn ndio hivyo tena the roof of Afrika inapoteketea kwa kupoteza sifa zake, na heshima yake,
madhara tutayapata sisi wamilik wa hizi rasilimal kwa kupungua kwa watalii,
maana sifa mojawapo ya huo mlima ilikuwa kuwa na barafu ktk nchi za joto, na mlima pekee afrika, hivyo basi wagen wakishajua baazi ya sifa za huu mlima zmepotea, nani atapoteza muda wake kuja kupanda ilo limwinuko[emoji23][emoji23][emoji23]..
serkal ifanye kila liwezekanao kuokoa ama kupunguza madhara ya mabadiriko haya, iwe ni kupitia spiritual activities , ama environmenmental activities za kupunguza kasi ya mabadiriko,
spiritual activities zihusishe makuhani wa imani zote, yaan imani za jadi na imani za kigeni yaani dini za kuja ukristo&uislam
lipigwe zindiko moja la heshima na makafara ya wanyama uku wakialikwa waganga mashuhuri na wasoma nyota wote waje watutabilie why this,
pia yapigwe maombi ya nguvu wakialikwa wakina lusekelo mzee wa upako, gwajiboy, mwakasege, mwamposa, na wale wote waliojipa majina makubwa makubwa,
nazan kwa kufanya hiv tutakuwa tumethubutu kuyaokoa mazingira yetu AU NATANIA NDUGU ZANGU?(in magu's voice)