Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,950
- 5,378
Kuomba mkopo wa covid na kujenga madarasaKama nchi tunaweza fanya nini kunusuru hii hali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuomba mkopo wa covid na kujenga madarasaKama nchi tunaweza fanya nini kunusuru hii hali.
Nani anaonewa huko mlimani?Laana tu za uonevu
Hana huo muda omba tu kwa niaba yake.Raisi atangaze maombi na kufunga siku tatu kwa ajili ya kuliombea taifa..
Saruji ndio nini?Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Hata maeneo mengi ya machame hakuna maji, ni jambo ambalo haijawahi tokea miaka yoteNpo kilimanjaro..kijijini kwetu ambapo bili ya maji kwa mwaka ni shilingi 1000, kijiji kinaitwa nkweshoo. Lkn hali kwa ss ni mbaya kwani maji yamekuwa kidogo sana..na nikiangalia mlima kilimanjaro hakuna ile kitu nyeupe..na kijiji chetu ndio cha mwisho baada ta hapo ni msitu alafu mlima....sasa kama mimi napata taabu ya maji je huko dar..na kwengineko hali ipo aje..? Wadau nini kinaendelea kwenye hili zulia la tz?
Saruji ipi tena Mangi? punguza mbegeImebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Tuanze kuombea umeme na majiRaisi atangaze maombi na kufunga siku tatu kwa ajili ya kuliombea taifa..
Saruji tena?Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
There is an equal and opposite reaction! ha ha haMabadiliko ya tabia nchi, tuendelee kuharibu mazingira... mazingira yatatulipa sawasawa na tunavyoyaharibu. To every action.......!
Saruji[emoji2962][emoji2962]Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Kuna uwezekano pia kuwa huko chini ya mlima kuna lava ambayo imeshaanza kupandisha juu ili itoke na hivyo imepelekea uwepo wa joto kubwa kileleni. Kumbuka kuwa Mlima Kilimanjaro una volcano iliyolala na ambayo ina uwezo wa kulipuka muda wowote ule
We acha tu si bora leo theluji ipo kidogo juzi jua liliwaka hadi mlima ukawa unatafuta kivuli
Aisee sio mchezo
Mimi naogopa sana maana Waafrika hatuko makini tunajali sana maslahi binafsi kuliko maslahi ya walio wengi.Suluhu ni kupanda miti hata ifike 1b na liwe lengo haswa
Serikali iwekeze kwa uhakika na sio Dili kwa baadhi ya wakubwa bali iwe muendelezo
Wote wanaojihusisha na Kilimo kinachohusu ukataji wa miti walazimishwe kupanda miti mingi na mbegu au mashina wapewe bure ila walipe wapandaji
Wafugaji wote wapewe miti na waitunze kwa lazima
Vijijini na kila kaya wapande miti
Hata pembezoni mwa barabara zetu
Vyanzo vya maji vilindwe sana
Wenye viwanda wakimwaga chemicals zao kwenye mifereji wapigwe faini yenye nusu ya thamani ya kiwanda chake na wanapopewa licence masharti yote yawemo
Watu wanaona ni jambo la kawaida ila ni janga kubwa sana
Wajukuu watatulaani sana tusipotetea ardhi leo
Mawaziri wawe serious sio majungu tu waje na mikakati
Kama wanazunguka na mabakuli hela zipo nje nje kuhusu tabia nchi
Je Mama kapata ngapi huko Scotland?
Hii hali ni tofauti hii hali italeta ukame mkubwa sana na hata mvua ikijanyesha itakuwa sio mvua ya kawaida 2022 utakuwa mwaka mgumu sana yajayo yanatisha.Jamaa anakuambia Mungu atunusuru wakati kila mwaka iyo hali inatokea
Afunge mwenyewe. Midhambi wafanye wao kufunga tufunge sisi nani anataka upumbavu huo.... MsyuuuuuuuuRaisi atangaze maombi na kufunga siku tatu kwa ajili ya kuliombea taifa..
Majitu yenye uchoyo wa nafsi na ulafi wa damu unadhani yanajali Chochote zaidi ya mitumbo yao.Hatari san aisee wajitahidi kushusha bei ya gesi na umeme ili watu waache kukata miti
Mimi naogopa sana maana Waafrika hatuko makini tunajali sana maslahi binafsi kuliko maslahi ya walio wengi.
Ni rahisi kupokea rushwa kwa maslahi binafsi huku wengi wakiteketea!!!
Ni bora kabisa tuone hao wezi wataringia nini.