Ongezeko la joto nchini, picha ya Mlima Kilimanjaro leo

Ongezeko la joto nchini, picha ya Mlima Kilimanjaro leo

Pale rushwa inaposhindwa kudhibitiwa katika nchi madhara yake ndio hayo!! Watu wa maliasili wametajirika kupitia misitu, mkaa malori kwa malori yanaingia miji mikubwa kila siku!! Uliza sasa huo mkaa na mbao zimeingiaje,yaani ni rushwa mwanzo mwisho kwenye mageti ya maliasili.Serikali isipomulika idara ya maliasili hali itaendelea kuwa mbaya zaidi.
Muda mwingine nasema wacha tuangamie kwasababu tumechagua kuwa kimya.

Haya mazingira tumeyakuta na tutayaacha. Miti ikiisha ikatoweka maji yatapotea ukame utatokea watu watakufa kaa njaa na miili yao itakuwa mbolea ya ardhi then dunia itaanza kujiumba tena na misitu ya miti na mapori itaota tena.

So vyovyote tunavyofanya dunia haipati hasara ni vizazi vijavyo ndio watalipia kwa viburi vyetu na watalipia kwa gharama kubwa sana.
 
Hivi hawajatokea Wafuasi wa Shujaa na kusema:-

"Bujibuji Simba Nyanaume itakuwa umetumwa na mafisadi ili uaminishe watu kwamba joto mwaka huu ni kali sana, kwahiyo Bwawa la Nyerere halifai...

Hizo ni njama zenu za kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere na kujaribu kufuta legacy ya Mheshimiwa Mpendwa Wetu, Dr. John Pombe Magufuli!"

Mwisho wa possible quote...

Quote ambayo inaweza kuwa ni maoni ya viumbe vinavyoishi au vyenye asili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!!

Jana imeripotiwa Mheshimiwa Majaliwa aliagiza timu inayosimamia Mto Ruvu wafuatilie vyanzo vya maji na kufunga illegal tributaries zote, cha ajabu viumbe hawa wakaona hilo nalo linalenga kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!
 
Hii hali ni tofauti hii hali italeta ukame mkubwa sana na hata mvua ikijanyesha itakuwa sio mvua ya kawaida 2022 utakuwa mwaka mgumu sana yajayo yanatisha.
Upo sahihi kabisa...

Serikali isipojipanga for vema for grain reserves, tunaweza kuja kutafutana hapa miezi kadhaa tu ijayo...

I feel sorry kwa wafugaji kwa sababu hali ikiendelea hivi hivi, wataanza kupoteza mifugo yao kama ambavyo iliwahi kutokea miaka kadhaa nyuma!!

Nakumbuka wakati ule, tulikuwa tunaoneshwa kwenye tv ng'ombe waliokuwa wanakufa ovyo ovyo kutokana na kukosa chakula na maji ya kutosha!

Na hata waliokuwa wazima, walikuwa wamekondeana kama vile vimbwa koko...
 
kichaa ni wew, kamuulize babu yako kipindi ukame na majanga yalipokuwa yakitokea tulikuwa tunafanya vip mpka mambo yanakaa sawa, kizaz cha watu kama nyie ni hovyo sana, mnazarau mambo ya kiroho, ndiomana hata maisha yako nina uwakika ni hovyo vile vile, ukibisha weka ushahid hapa kwenye akaunt yako kuna shingap, kama sio madeni basi hata account huna uwezo wa kuiendesha....[emoji23]
Cheki ulivyokuwa mpuuzi.

Akili umeshikiwa ukidhani kila kitu ni kiroho tu.

Simple reasoning hata ya kuku inakushinda, kwamba watu wakae waombe barafu irudi kilimanjaro.

Na ulivyo mpuuzi unadhani kabisa ni mburula kama wewe nikuoneshe acc yangu ya benki?

Ndo huko kanisani mnapeleka bank statement kwa wachungaji?
 
Hivi hawajatokea Wafuasi wa Shujaa na kusema:-

"Bujibuji Simba Nyanaume itakuwa umetumwa na mafisadi ili uaminishe watu kwamba joto mwaka huu ni kali sana, kwahiyo Bwawa la Nyerere halifai...

Hizo ni njama zenu za kutaka kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere na kujaribu kufuta legacy ya Mheshimiwa Mpendwa Wetu, Dr. John Pombe Magufuli!"

Mwisho wa possible quote...

Quote ambayo inaweza kuwa ni maoni ya viumbe vinavyoishi au vyenye asili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!!

Jana imeripotiwa Mheshimiwa Majaliwa aliagiza timu inayosimamia Mto Ruvu wafuatilie vyanzo vya maji na kufunga illegal tributaries zote, cha ajabu viumbe hawa wakaona hilo nalo linalenga kuhujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!!
Nimehujumu uchumi
 
Majitu yenye uchoyo wa nafsi na ulafi wa damu unadhani yanajali Chochote zaidi ya mitumbo yao.
Mungu hashindwi kitu haki ni km mkufu hapa unapinda pale unanyooka. Tuzidi kusema km hawatasiki tutashitaki kwa Mungu hakimu wa haki.
 
Cheki ulivyokuwa mpuuzi.

Akili umeshikiwa ukidhani kila kitu ni kiroho tu.

Simple reasoning hata ya kuku inakushinda, kwamba watu wakae waombe barafu irudi kilimanjaro.

Na ulivyo mpuuzi unadhani kabisa ni mburula kama wewe nikuoneshe acc yangu ya benki?

Ndo huko kanisani mnapeleka bank statement kwa wachungaji?

em kapitie uo uzi kidogo utoe takataka kichwani kwak
Screenshot_20211117-214718.jpg
 
Kuna wachina huko Congo wanavuna miti yakutosha tusisingizie mambo mengine chin Chinese huko Congo wanakata miti Sana na Congo kuna mito na miti mingi ilichangia ku neutralize Hali ya hewa poor wachina
 
Daaah kilichobaki ni kuupaka rangi nyeupe tu,ili uendelee kuwa kivutio maana hamna namna......au nasema uongo jamani.
 
Endeleeni tu kukata misitu, baadhi ya mikoa hapa nchini ni adui wakubwa wa miti. Lakini ukienda nchi za jirani au za nje utapenda mwenyewe jinc wanavosamini miti.
 
Jua linawaka sana na joto Kali . Niko Chugga miaka minne sasa dah kwa kweli kipindi hiki hali ni tofauti na hapo nyuma
 
tuliwaambia humu kuwa imani ni jambo zito na lenye nguvu kulko watu wafikilivyo, nazani mmeona wenyewe mvua ilvyofunguka baada ya viongoz wa imani kuomba, kwahiyo tunavyowaambia humu matatizo ya kijiografia yanaweza kutatuliwa kwa njia za imani muwe mnaelewa, acheni ubishi wakipumbavu

sisi watu weusi ni watu wa kiroho, haijalishi unaabudu ktk dini/imani gani hiyo aitoshi kukutenga na nguvu zako za kiungu..we are the strongest race in spirituality issues.

aibu kwenu mlinipinga kuhusu hili jambo
IMG_20211118_125928_8.jpg
 
Ila hizi picha hizi sizielewi kabisa,mi nipo Wilaya ya Mwanga hapa,umbali wa Kilometa 52 na Moshi mjini nauona mlima una mabarafu mengi kiasi chake kuliko haya nayoyaona hapa,sielewi huyo captaina alivyoichukua hiyo picha alikuwana malengo gani

20211028_075411.jpg
 
Back
Top Bottom