Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Tutafte pazia kubwaa tufunike mulima kirimanjaroKama nchi tunaweza fanya nini kunusuru hii hali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafte pazia kubwaa tufunike mulima kirimanjaroKama nchi tunaweza fanya nini kunusuru hii hali.
Huwa nashangaa inakuwaje serikali kama tanzania inakumbatia parasites kama hawa.?
Mito yenye 3.6million km² ni urefu gani huo mkuu?
Sawa, lakini sio 3.6mill sq.km, huo sio urefu bali ni eneo. Urefu wa 3.6mill km nitakubali mzee...Kumbuka nchi yao ni kubwa sana na hiyo mito inatembea nchi 8 sio mchezo ni maajabu sana tuna Neema zote hizo
Ukiangalia google earth utaiona mito hiyo halafu soma na River Congo utapata kitu
Sawa, lakini sio 3.6mill sq.km, huo sio urefu bali ni eneo. Urefu wa 3.6mill km nitakubali mzee...
Ohoooo
Umesema sahihi.
Suala la mlima klm ni matokeo ya matendo yetu ya miaka 20 iliopita.
Tukitaka kurekebisha hali hii itachukua miaka 20 ijayo kurudi tena hapa.
[emoji1666]Kweli ni eneo sawa kabisa na urefu ndio 4700km Asante kwa usahihi
Saruji ni cement.... Iliyoko mlima I ni thelujiImebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
😪😭😢Aisee
Nadhani ulimaanisha thelujiImebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Labda alikuwa anamaanisha cement imebaki 7%..7% ya saruji?
Umeelewa ulichokiandika?
Nch ngumu Sana hii saruji juu ya mlima Kilimanjaro inatafuta Nini?Imebaki 7% ya saruji , December hii wachaggaa Tuongee ajend ya barafu mliman kwetu
Hapo ni mti mkubwa??ni angle gani hiyoIla mwaka kulikuw na bard sana na hiyo pcha nlipga mimi june2021View attachment 2013199
kichaa ni wew, kamuulize babu yako kipindi ukame na majanga yalipokuwa yakitokea tulikuwa tunafanya vip mpka mambo yanakaa sawa, kizaz cha watu kama nyie ni hovyo sana, mnazarau mambo ya kiroho, ndiomana hata maisha yako nina uwakika ni hovyo vile vile, ukibisha weka ushahid hapa kwenye akaunt yako kuna shingap, kama sio madeni basi hata account huna uwezo wa kuiendesha....[emoji23]We nae kichaa sasa.
Maombi yanaletaje barafu?
shida ama akil zako ndzo zinashida ys kuelewa?? hiv umesoma vzr lkn ukaelewa? ama unahitaji msaada maalumAisee watz tuna kazi sana. Hii ndio solution umeamua ku propose??
Sawa maana halmashauri ya kichwa chako ndio imekuelekeza kwamba maombi toka kwa kina mwamposa ndio solution ya majanga hayo. Mimi ni nani hata nikubishieshida ama akil zako ndzo zinashida ys kuelewa?? hiv umesoma vzr lkn ukaelewa? ama unahitaji msaada maalum
Hapo ni mti mkubwa??ni angle gani hiyo
Nadhani ulimaanisha theluji