A
Anonymous
Guest
Habari,
Mabanda ya kuchezesha video games kwa watoto yamezidi. Upi mpango wa Serikali kunusuru hiki kizazi?
Mabanda ya kuchezesha video games kwa watoto yamezidi. Upi mpango wa Serikali kunusuru hiki kizazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa!! Yaani jukumu la wazazi eti serikali ndio ilibebe?!! Kwani kila mzazi akiamua kumkataza mtoto wake kwenda kwenye mabanda hayo, yatakuwepo?Mnashindwa ku control watoto wenu, mnataka kufunga biashara za watu. What next? Maduka ya pipi na ice cream yafungwe kwasababu watoto wanaoza meno?
Watoto hela ya kula shule wanapewa asubuhi mkuu, wa tution wachache sana. Hii biashara ukifungua vumilia tu usumbufu wa serikali za mtaa na ulinzi shirikishiHakuna shida kama zitakuwa zinafunguliwa kuanzia saa kumi jioni na weekend kuanzia asubuhi.
Habari,
Mabanda ya kuchezesha video games kwa watoto yamezidi. Upi mpango wa Serikali kunusuru hiki kiza
Naitwa Martin Lukwandali,ni Mratibu mkuu wa chama cha maktaba za video,video games na mabanda ya video Tanzania.Habari,
Mabanda ya kuchezesha video games kwa watoto yamezidi. Upi mpango wa Serikali kunusuru hiki kizazi?
View attachment 3047032
Nilomshangaza mchezesha game mmoja, mwanangu kaiba buku home kaenda kucheza alivyorudi nikamtaiti akasema nikamwambia twende, tulivyofika nikadai hela jamaa kakaza eti hela sitoi popote nenda nikamjibu popote siendi na hela utatoa, nilikaza hadi buku likarudi.Serikali inajua kumlinda mtoto ni dhidi ya ukatili wa kijinsia hawajui vitu kama hivi huweza pelekea mtoto kuharibika kitabia hasa pale akikosa hela ya kulipia hizo huduma