britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
-
- #21
ImamesekaNgumu kumesa
Hivyo haviruhusiwi kabisaHapa ni kutengeneza vibubu tu
Washauri basi we si uko karibu naoMkuu hii ni hatari, ngoja tujiandae kuzitunza ndani,
Ile ya.kisiwa.cha Guam sikuiamini kwanza nikaileta kwa wanajamvi maana watu wa Mambo hayo wapo kupitia majibu yao yamesaidia sana kujua mambo
Siku hizi nimeanza kuamini post zako hata wakikuweka ndani nitutolea dhamanaMkuu hii ni hatari, ngoja tujiandae kuzitunza ndani,
Ile ya.kisiwa.cha Guam sikuiamini kwanza nikaileta kwa wanajamvi maana watu wa Mambo hayo wapo kupitia majibu yao yamesaidia sana kujua mambo
Ninavyojua mimi japo sio nguli wa maswala haya ni kwamba,kiapo hutumika wakati ambapo vitambulisho unavyo sawa na ni halali kabisa lakini unakuta majina yanakuwa hayako sawa kwenye baadhi ya documents zako.Pamoja na kwamba hata kama utakuwa na vitambulisho vyoote husika lakin muhim kuwa na kiapo cha mahakamani kwa taarifa unazotoa wakati wa ufunguzi wa akaunt,
Wakati huo huo akaunt zote ambazo zitaonekana kupitisha hela kubwa kubwa zitachunguzwa na wakibaini hela inapita tu bila kuwa na uthibitisho wa hela zako, akaunt inazuiliwa, na kiasi chenyewe ni zaid ya milion 50 kwa miezi kadhaa
Stay tuned,
Britannica,
Kenya inatuburuza hiii Hongera sana Kenya na ahsante maana sasa hivi tz tulindwa na kampuni ulinzi toka Kenya sabuni Kenya kiwi kenyaUjamaa 💯....
Alijaribu Nyerere alikiona kiti kichungu.....
Pengine itauzia money laundering and those stuffs, Ila kiukwel too much beuracracy has never been a a good indicator for economy growth....
Hapa Kenya na Uganda tutwasikia tu kwenye list za middle class economy....
Tutaburuzika for another good100yrs....
Zamani benki posta enzi zangu nilitoa pesa ikaibiwa ikabidi niende kumwona meneja! Benki ndiyo enjini ya uchumi plz waache urasimuKwa mwendo huu itafika sehemu ukienda kuchukua Fedha hata milioni tatu tu ujaze fomu ya maombi wiki tatu kabla na uambatishe na mchanganuo wa matumizi wa fedha yote,
Kila leo unahubiri kuondoa urasimu wakati huo huo unaongeza urasmu zaidi ya ule uliokuwepo....!
hau kila mtu na Lugha yake kama vile ilivyokuwa kwa Wajenzi wa mnara wa Babeli!! unaombwa ulete tofali unapeleka msumali😂😂😂.Ila Mungu atasikia kilio cha watu wake na ataleta mkombozi.Uzuri hapa hata "wajeda" nao wataguswa pamoja na watu wa chama chake.
Ni swala la muda tu kila mtu atamchoka na wote tutaongea lugha moja.